Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Nilimtongoza mdada m1 akaniuliza una umri gani nikamjibu Nina 29 akaniambia me ni mdogo sn kwake coz yy ni age 36 nilijisikia vibaya sn coz alinambia hataki tena wadogo dah...ila me napendaga sana wadada wakubwa zaidi yangu coz wengi sio wasumbufu,pia mechi Zao ni tofauti na za kitoto yaan hata akichoka hakwambii kachoka mpaka umalize mechi.NAKUPENDA SANA CUTE....
 
Back
Top Bottom