Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Unavunja mbavu zangu bwana we mzigua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu ngoja nimtafute nimjueKaja kucomment tena na hapa eti nikamjibu pm yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavunja mbavu zangu bwana we mzigua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu ngoja nimtafute nimjueKaja kucomment tena na hapa eti nikamjibu pm yake.
Mama la mipasho aseee we mama unachambana sana!!!!Leo ukikosa tena ukaoge maji ya bahari
au kaogee chumvi ya mawe.
Tafadhali, jaribu tena baadaye.Mbona pm yako imefungwa sasa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha ha kitu popobawa
HahaaaaaaUlinikataa kwakuwa sina msambwanda
Soma comment za mwisho mwisho utamuona.Unavunja mbavu zangu bwana we mzigua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu ngoja nimtafute nimjue
Sawa mkuu nitakaribia.Tafadhali, jaribu tena baadaye.
Ulinikataa kwakuwa sina msambwanda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Popobawa ni mambo ya Tandale kukomoana, mbona Masaki hazivumi hizo makitu ni Mbagala, Vingunguti, Manzese etc. Kule sehemu zile zilizokosa utukufu
Miss Natafuta Na Sky Eclat wanaujua muziki wangu PM.
Baada ya kupigwa kibuti Na Mamndenyi nilipagawa kabisa, hasira zangu nukazihamishia PM kusakasaka penzi jipya.
HR 666 njoo let us share the experience
Ngoja waje watasema maana wengine mpaka walinialika five star hotel tukaongee!!! Shida ukimzunguka kidogo ukimtwanga maswali ya msingi majibu yanakuwa tata unajua tu kuwa hapa ninataka niingizwe chaka tu!!! Ukweli PM kuna mambo mengi sema kwa sheria za JF hatutakiwi kuweka hadharani yale mnayochat ila kwa kweli yanavutia sana na kuondoa stress!!!!Hadithia kidogo basi walikuwa na swaga zipi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vipi weye! Ulishindwa kuweka hata ule wa Mchina? Leo hii ungekuwa unatesa kama Mrs Buji Buji almaarufu wa JamiiForums.
We PM yako iko wazi? Ushawahi kutamani kuifunga? Mi sioni sababu ya mtu kufunga wakati unaweza kuignore messages au kublock wale wasiofaaSawa mkuu nitakaribia.