Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Itakua huwa wanafuta manenoHivi moderator wanauwezo wa kusoma PM zetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua huwa wanafuta manenoHivi moderator wanauwezo wa kusoma PM zetu?
Yani kumchota mtu ndo hukoInaleta raha sana..!
Basi watakuwa wanatuchora sana.. [emoji23]Ndio
Nahc ndo shm pekee watakayo kuwa wanatoa nje meno 32.Kweli kabisa, yana kama wanaweza kuziona PM zetu basi naamini kuna time watakuwa wanacheka tu vile jinsi watu wanavyolizwa.
Hisia zinakuja na kutoka aliekua mnaitana shemejiHapana wakunyumba sio Rrondo shemeji yangu simtag anajijua akipita hata kimyakimya atajijua
Wanafutaje maneno, ebu dadavua kidogoItakua huwa wanafuta maneno
Baba mdogo ¿¿¿Hata simuogopi ujue. Sema naogopa tu tusije tamaniana humu ikawa ishu unaflirt na baba mdogo.
Wala sio mtu wa majukwaani kabisa unavyohisi utaumiza kichwa chako bureHisia zinakuja na kutoka aliekua mnaitana shemeji
Sana,maana naamini visa vya huko pm ni mara mbila ya huko majukwaani.Nahc ndo shm pekee watakayo kuwa wanatoa nje meno 32.
Aisee hawa moods wanaongeza ck za kuish[emoji23]
We mwenyew unaonekana ni wa amani na upendo ntakuja kukusalimia pm [emoji12]
Taratibu kabisa mtoto anajaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaa unampigia hesabu ..daahh wanaume wenye busara bhana always huwa wanajua kuzitumia busara zao vyema kuwadanganya gals...
Teh teh teh niache nipite kimya kimya na safari yangu ya koromijeHahahahahahhah kipo sealed
Haaah Mara 1000 mkuu, nilichatig na Mshkaj ,for 3weeks consecutively,akidai ni MEN mwenzang tunakuja kutana siku yenyew kumbe demu alaf mkaliiiii...haaaah.Sasa Hayupo JF(kaolewa na kawa banned na her husband)Sana,maana naamini visa vya huko pm ni mara mbila ya huko majukwaani.
Hawafuti, PM zangu zote zipo completeItakua huwa wanafuta maneno
Hahahahaha experience yangu ni kukutana na lock zaidi 100 kila ninapofikiri kuzama pm [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah, hayo mambo ya kichwa kichafu, yupo hapa, atoe mauzoefu yake
Pm hawafiki sijui lakini kama ndivyo basi haina maanaItakua huwa wanafuta maneno