Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Wavumilivu sana aisee, yanayotekea PM ni makubwa sanaNahc ndo shm pekee watakayo kuwa wanatoa nje meno 32.
Aisee hawa moods wanaongeza ck za kuish[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavumilivu sana aisee, yanayotekea PM ni makubwa sanaNahc ndo shm pekee watakayo kuwa wanatoa nje meno 32.
Aisee hawa moods wanaongeza ck za kuish[emoji23]
Right now.... Acha nitupe hiki kipande cha muwa[emoji124] [emoji124]Karibu sana
Youuuu.Ha ha ha, kumbee.
Aisee sasa ulimuuliza kwanini alikuwa anaficha jinsia.Haaah Mara 1000 mkuu, nilichatig na Mshkaj ,for 3weeks consecutively,akidai ni MEN mwenzang tunakuja kutana siku yenyew kumbe demu alaf mkaliiiii...haaaah.Sasa Hayupo JF(kaolewa na kawa banned na her husband)
[emoji359] [emoji30]Karibu sana
[emoji4][emoji4]Right now.... Acha nitupe hiki kipande cha muwa[emoji124] [emoji124]
Readers perception derived from yo avatar's lookJamani hadi naona aibu. Real life siko hata sex mwaya. Niko mmama fulani hivi. This weekend??
Hivi amepotelea wapi huyu mwanamke lakini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ulikua serious[emoji359] [emoji30]
Jamani kwanini uniache niingie mwenyewe sasa? Unaweza kushangaa sirudi kwenye gari.Basi wewe ni kunikumbusha tu ikifika kiwanja kimoja baada ya kingine ntasubiri maelekezo tu
AnakujaHivi amepotelea wapi huyu mwanamke lakini.
Hahahahaa.Hapana wakunyumba sio Rrondo shemeji yangu simtag anajijua akipita hata kimyakimya atajijua
Nadhani umeingia Pesa Money(Pm) soon nimeongeza waraka mwingineSio hata yeye sasa. Mwenye mwandiko huo id yake tu ni changamoto.
AbeeeeHivi amepotelea wapi huyu mwanamke lakini.
Kheeee[emoji15] [emoji2] [emoji1] .Naona huu Uzi unaongeza PMsKaribu sana
Ndiyo maana hawataki mambo ya Pm yasije jukwaani.Wavumilivu sana aisee, yanayotekea PM ni makubwa sana
Kwa hiyo yeye ni pm tu mtakua wangapiWala sio mtu wa majukwaani kabisa unavyohisi utaumiza kichwa chako bure
Im ready when You are.Jamani hadi naona aibu. Real life siko hata sex mwaya. Niko mmama fulani hivi. This weekend??
MangaPm hawafiki sijui lakini kama ndivyo basi haina maana