Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hebu nipe kwa kifupi chenye kinaendelea hapaAnakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nipe kwa kifupi chenye kinaendelea hapaAnakuja
Naona Haya sifiki najikuta natumia masaa mawili na hiyo avatarUfike salama
Obviously .Hii ilikua kali zaidi itakua yeye ndo chanzo mkawa friend
Kwanini sasa?Ha ha ha!
Nimecheka sana baada ya kuona iyo post yakoo.
Wakosaje kurudi kwamba huhami kiwanja?Jamani kwanini uniache niingie mwenyewe sasa? Unaweza kushangaa sirudi kwenye gari.
Sawa shem,ila mambo ya kupotea kimyakimya utasababisha siku nyingine watu wachanganyikiwe.Niko huku duniani Shem... Mwanzo wa mwaka inabidi kuweka mipango sawa
Roho yaniuma hanikuti daha mpe hiAnakuja
Ngoja niongeze kama jina lilivyo pesa money (pm) hadi nifike kikomo cha a/c yako kureceive pesa.Nimekutumia namba ya wakala bby sijaona kitu.
OkayUkijikubal huumizwi na dosari.
Enjoy cake of yo own happiness
Hapa naona muda si mrefu PM itafunguliwa.[emoji23] [emoji23]I'm ready.
Nitatekwaa.Wakosaje kurudi kwamba huhami kiwanja?
basi ntakua nyuma yako.
Endelea bby. Acc yangu mwisho 5MNgoja niongeze kama jina lilivyo pesa money (pm) hadi nifike kikomo cha a/c yako kureceive pesa.
Ushafika za masiku nisha aga tutaonanaAbeeee
Kwanini sasa?
Safi tu Manga... Naambiwa wanitafuta, hakika wewe ni rafiki wa pekeeUshafika za masiku nisha aga tutaonana
Vile namii ni muhenga code tayarIm ready when You are.
Manga jamani, niambie kaka angu wa moyoniRoho yaniuma hanikuti daha mpe hi
Sawa mkuu zisha vunjwa nazaniComrade ulipotea sana.
Saivi nipo natafuta njia ya kuzivunja hizo lock
Wewe kama mimi tuu.Mtaani sina mrembo,Jf sina mrembo hata wakumtext pm,sijui ni gundu hili?