Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Akafe mbele. Mi alikua ananichefua
Mara ya kwanza kabisa nilijaribu kusoma story yake nikashindwa.
Ikawa nikiona link tu siifungui hata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akafe mbele. Mi alikua ananichefua
Sana asee wikii hii nimekua active sana lakini sikuoni nikatamani kujua kwa pacha wako mmfurahi kukuona tenaSafi tu Manga... Naambiwa wanitafuta, hakika wewe ni rafiki wa pekee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja nimtafute Evelyn Salt PM nimtumie link ya Mimi ni nani lakini?
Koh koh koh!Niko poa Shem... Ukitaka kujua nani anakujali we kuwa busy?!! Hivi umeshindwa mwambia Shunie aniite
Wewe hapana aisee.We mbona ni malkia wa hapa Jf kwa sasa,i hope pm yako ina foleni kama ya benki ya nmb tarehe za mwisho wa mwezi.Wewe kama mimi tuu.
Nisha kuona safi kwangu hapa nimesimamiwa ila bado nimo tu ha ha haaManga jamani, niambie kaka angu wa moyoni
Wewe ndio umejitenga na kujifungia huko kwakoJirani
Hivi wewe ni wakunitenga hivi
Nyi ndo mnakuaga hatareeeMtaani sina mrembo,Jf sina mrembo hata wakumtext pm,sijui ni gundu hili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaa. Duuh.
Sina hata kwakweli. Napambana na Avatar yangu usiyoipenda. Hahahaaaaa.
Ndomana kumbe akufundishe sasaYaani ningekuja kitambo ujue... Sasa kaita kwa lugha yake huyo
Asante kwa kujali Manga... Ni mambo yalikuwa hayajakaa vyema, ukubwa nao unachangiaSana asee wikii hii nimekua active sana lakini sikuoni nikatamani kujua kwa pacha wako mmfurahi kukuona tena
Nkuletee mmaKoh koh koh!
Kwa mbaaaaali nakufania kihenga[emoji3] [emoji3]Wahenga kama wewe mpo wachache sana
Basi atakuwa amesahau tuHapana
HahahaNisha kuona safi kwangu hapa nimesimamiwa ila bado nimo tu ha ha haa
Jirani nani amekuambia umuite huyu....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]Koh koh koh!
HahahaWewe ndio umejitenga na kujifungia huko kwako
Ulipaliwa?
Daah aiseee kuna mambo sana huko pyemKwa wale wanaopenda haraka kutaka pic yako kukujua tunawatumia za kudownload za insta
Amesikia jamani...Ndomana kumbe akufundishe sasa