Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu

Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa

Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo

Halaf kingine maswali maswali yenu mengiii mnakera mnooo
Punguza hasira
 
[emoji3][emoji3][emoji3] yaan alijua anachokifanya moja kwa moja kaja kwenye meza yetu ananiambia shunie basi akanihug tukaanza kupiga moja moto moja baridi story yaan naishukuru jf kwakweli imenipa watu wema sana
Teh tupange kuonana basi nami niingie kwenye hiyo list yako ya watu wema
 
Back
Top Bottom