Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Nini tena kipenzi?Umenikumbusha mbali... Hahhaah daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena kipenzi?Umenikumbusha mbali... Hahhaah daah
Unasahau wewe!Nimefuata watu wawili tu pm huku. Mmoja nilitaka anip3 link niangalie kitu na mwingine nimemfuata leo kumuelekeza jinsi ya kuandika pm. Labda wewe ndo nilikuomba ile link zaid ya hapo hamnaa.
Hahaaa. DuuhNifanye nithubutu tafadhali
HahahaWalahiii yaaani !
Mimi kwanza naogopa pm
Hahaaaa. Kwa nini sasa Kaka?[emoji3][emoji3][emoji3] ! Nimeona comment yako ikabidi nicheke tuu
Pole sana kamanda..!Kuna mmoja alinifata PM kumbe punga kanitumia mapicha ya wanaume kwa wanaume kibao anataka nikamsukumie mashine NIMEMPOTEZEA ukimkuta kule ktk jukwaa la SIASA utaisi ni mwanaume na strong point..ila ni PUNGA
Unajua bhana! Hadi niseme hapa?Hahaaaa. Kwa nini sasa Kaka?
Yesu anakuona ujueHahaha
Ujue mwenyewe naogopa hata kupaangalia...
Nasahau kweli halafu.Unasahau wewe!
Potezea!
Nyie mnaojifanya mnashangaa ndio mabingwa huko kajificheni!Hahaaa aisee yaani unaanza kupenda mwandiko + avatar then unamu-imagine mtu
Najua ananiona akiYesu anakuona ujue
Hahaaaa. [emoji85] [emoji85]Unajua bhana! Hadi niseme hapa?
Hahahaaa. Wanazuga tu hapa.Nyie mnaojifanya mnashangaa ndio mabingwa huko kajificheni!
Umeshamjua mkuu? Au aujawai kukutana nae?Pole sana kamanda..!
Dooh
Okay!Nasahau kweli halafu.
Ni nini mkuuUnalijua lengo la kuja huko?