Tuliowahi tongozwa au mliowahi watongoza mashemeji zenu mpo?

Nina mashaka Kama kweli hukuliwa na watoto wa SAUT mlivyokuwa mnashoboka na wine hapana sema uliliwa kimasihara!
 
🤣🤣🤣
Mbona hii inaonyesha kabisa huyo jamaa alikukula ? Ulimsaliti Dada yako. Maana kwa jinsi ulivyoandika hapa inaonyesha kabisa ulikiachia.

Kuna mambo mengine kama huna uwezo wa kuzungumza ukweli moja kwa moja msiwe mnayaanzishia uzi.

Kwa kifupi wewe uliliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…