PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Sijakuelewa hapoUko wap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa hapoUko wap?
1. Uhovyo "NDIO" kuni approach shemeji yake.Mkuu ungeliwa kabisa, ungekuja kusimulia hapa?
Kutongozwa na kutongoza ni aina ya sanaa kama vile muziki, kuna kupendezwa na kutopendezwa nao.
Muziki usiokupendeza, si kila mtu haupendi, wengine wapo wanaoupenda na kuushobokea.
Na cha ajabu, msomi kabisa unatongozeka kisha unashindwa kujenga hoja za kumpiga chini kisomi shemeji yako na ukaribu wenu akabakia palepale, badala yake unamsema vibaya kwamba ni wa hovyo na kumtenga!
Kutongoza ni kudemand, siyo kosa lile na kumkataa mtu pia siyo kosa, kosa ni kubaka.
Katika comment yangu, kila kitu nilikiweka sawa kwa kusema kuwa mtongozaji akishatongoza na mtongozwaji akakataa, mambo huishia hapo hakuna kosa, kosa ni kofosi penzi ama kubaka.1. Uhovyo "NDIO" kuni approach shemeji yake.
2. Sikutaka mambo mengi ndio maana nikaweka gape.
3. Simchukii nampenda ila sio kushare nae mwili. kuna lingine je?🙄
Anything illegal,taboo are very addictiveHakuna K tamu kama k ya ndugu wa demu wako
Ukimtongoza kwa ishara ama kwa kucheka cheka ataelewa kuwa ni utani kweli.Shida ya kumtongoza shemeji ni anakua hajui kama upo serious au ni matani kwahiyo anakua dilemma.
😂😂 Khee, Tamaa tuUkimtongoza kwa ishara ama kwa kucheka cheka ataelewa kuwa ni utani kweli.
Hautakiwi kuweka mafumbo tongoza direct kwa maneno yenye kueleweka na rasilimali.
Tengeneza bajeti ya kujifirisi inayoitwa 'kiua undugu' ikamilike kabla ya kuanzisha hiyo project.
Mleta mada yupo kwenye kundi la wanawake locally sana, akikukataa anaanza kutamba na kukutangaza, utadhani kutongozana ni jinai.
Sasa kwangu mimi wa hivi hawezi chomoa, mbinu zote za kudeal na wanawake wa aina yake, zile halali na haramu nazifahamu vizuri.
Akinikataa kwa heshima ntaridhika, ila akinikataa kisha kuanza ngebe zake, nitajua kuwa sasa nipo kwenye ligi huyo lazima nimlale.
Hawezi shindikana kwa pesa, akiendelea kukaza, potelea kwa mbali ntatumia hata ndumba ili nishinde mechi kudadeki.
Hukumtendea haki kabisa,ulipata faida gani kumnyima labdaAah wapi sio rahisi ndugu, na ningeliwa ningesema tu kwani wanijua☺️
Mkuu siyo tamaa, ni biolojia ndiyo inatulazimisha tuhangaike, wee acha tu.😂😂 Khee, Tamaa tu
Yombo unafanya nini huku?Uzi unanuka ngono, uzinzi, Gono, UTI sugu na HIV
Wewe ni bingwa!Kwa ndugu wa mkeo.aisee labda ajilengeshe
Ila kwa mademu wa nje
Kuna nyumba moja nimekula wanne
Pengine mtu na mdogo wake
Pengine mapacha