Tuliowahi tongozwa au mliowahi watongoza mashemeji zenu mpo?

Tuliowahi tongozwa au mliowahi watongoza mashemeji zenu mpo?

🤣🤣 kwanza nicheke kiasi.
Umewahi pewa tongozo la haja na shemeji wewe?

Basi kipindi hicho nipo Mwanza kwa dada yangu, mmewe mpole mwenyewe huwezi dhani kama ana mambo ya hovyo, nikiwa nasoma zangu huko SAUT, hivyo ukaribu na shemeji haukuwa kihiiivyo, ila siku zilivyozidi akawa ananijulia hali mara kwa mara sometimes anapita chuo kunisalimia me nikijua kawaida tu Shem Shem😊 lol.

Basi mazoea yalizidi nilipokuwa nakuwa Likizo na ndio kipindi dada yangu alikwenda Dar es Salaam kwaajili ya issue zake
Nikaona kama bwana yule anataka kunipa duties za mkewe nyingi kuliko kawaida bt kwasababu tayari nilikuwa na akili ya kujiongeza nikaanza kunusa mchezo anaotaka ucheza maana si kwa TIP zile nilizokuwa nachiwa🤣...

Kama ilivyo uvumilivu una ukomo, weekend moja jioni akaomba twende shopping ya hapo nyumbani then baada ya hapo akaniambia tupite sehemu amemiss SAMAKI wa BONASERA, si ndio akafunguka alipokuwa huko kwamba ananizimia sana na ila iwe siri yetu na atanihudumia kila kitu zaidi ya dada🙄, nilimwambia nitamjibu.

Ila toka siku hiyo nilimkwepa mpaka akawa anauliza kama kuna shida, ikawa imetoka mpaka nilipokuja rejea Dar. Ila dada sikumwambia sikutaka mambo yao yaharibike ila niliset gapes tu.

Vipi huko kaka/dadaz.... najua mnatongoza shemeji zenu au mnatongozwa sijui🤣🖐🏾


View attachment 3171522
Kwa hiyo unataka uvunje ndoa ya watu kwa kukosa kaba?Mwanaume hutongoza for fun tu.Kuna muda hatuko serious.Zingatia hilo usizuzuke kiboyaboya.
 
🤣🤣🤣
Mbona hii inaonyesha kabisa huyo jamaa alikukula ? Ulimsaliti Dada yako. Maana kwa jinsi ulivyoandika hapa inaonyesha kabisa ulikiachia.

Kuna mambo mengine kama huna uwezo wa kuzungumza ukweli moja kwa moja msiwe mnayaanzishia uzi.

Kwa kifupi wewe uliliwa
☺️ Ningeliwa pia ningesema kwani wanijua kaka?
 
Kwa hiyo unataka uvunje ndoa ya watu kwa kukosa kaba?Mwanaume hutongoza for fun tu.Kuna muda hatuko serious.Zingatia hilo usizuzuke kiboyaboya.
5 years, ningekuwa sina kaba si ngeshawavuruga maana my dada ni rafiki yangu mzuri tu, bt sio wa namna hiyo ndio maana niliamua kustep a side
 
🤣🤣 kwanza nicheke kiasi.
Umewahi pewa tongozo la haja na shemeji wewe?

Basi kipindi hicho nipo Mwanza kwa dada yangu, mmewe mpole mwenyewe huwezi dhani kama ana mambo ya hovyo, nikiwa nasoma zangu huko SAUT, hivyo ukaribu na shemeji haukuwa kihiiivyo, ila siku zilivyozidi akawa ananijulia hali mara kwa mara sometimes anapita chuo kunisalimia me nikijua kawaida tu Shem Shem😊 lol.

Basi mazoea yalizidi nilipokuwa nakuwa Likizo na ndio kipindi dada yangu alikwenda Dar es Salaam kwaajili ya issue zake
Nikaona kama bwana yule anataka kunipa duties za mkewe nyingi kuliko kawaida bt kwasababu tayari nilikuwa na akili ya kujiongeza nikaanza kunusa mchezo anaotaka ucheza maana si kwa TIP zile nilizokuwa nachiwa🤣...

Kama ilivyo uvumilivu una ukomo, weekend moja jioni akaomba twende shopping ya hapo nyumbani then baada ya hapo akaniambia tupite sehemu amemiss SAMAKI wa BONASERA, si ndio akafunguka alipokuwa huko kwamba ananizimia sana na ila iwe siri yetu na atanihudumia kila kitu zaidi ya dada🙄, nilimwambia nitamjibu.

Ila toka siku hiyo nilimkwepa mpaka akawa anauliza kama kuna shida, ikawa imetoka mpaka nilipokuja rejea Dar. Ila dada sikumwambia sikutaka mambo yao yaharibike ila niliset gapes tu.

Vipi huko kaka/dadaz.... najua mnatongoza shemeji zenu au mnatongozwa sijui🤣🖐🏾


View attachment 3171522
Mkuu ungeliwa kabisa, ungekuja kusimulia hapa?

Kutongozwa na kutongoza ni aina ya sanaa kama vile muziki, kuna kupendezwa na kutopendezwa nao.

Muziki usiokupendeza, si kila mtu haupendi, wengine wapo wanaoupenda na kuushobokea.

Na cha ajabu, msomi kabisa unatongozeka kisha unashindwa kujenga hoja za kumpiga chini kisomi shemeji yako na ukaribu wenu akabakia palepale, badala yake unamsema vibaya kwamba ni wa hovyo na kumtenga!

Kutongoza ni kudemand, siyo kosa lile na kumkataa mtu pia siyo kosa, kosa ni kubaka.
 
Sikuwa najua kama wanajuana, nilitambulishwa , nikarusha nyavu.
Ila sasa kuonana nae ananiambie nimfuate ofisini kwao ndio nitoke nae, kuuliza location ni same location na x na wanajuana
Yule mpumbavu asivyokuwa na akili akamwambia mwenzako. X kuniuliza nikamwambia njoo tuongee ilivyokuwa, kwakuwa nilikuwa na njaa ikabidi nipashe wali wa jana. No string attached
 
Ila toka siku hiyo nilimkwepa mpaka akawa anauliza kama kuna shida, ikawa imetoka mpaka nilipokuja rejea Dar. Ila dada sikumwambia sikutaka mambo yao yaharibike ila niliset gapes tu.
Hongera sana ,wanawake wangekuwa na akili kama zako tungefika mbali sana....maisha mengi yameharibika kisa mapenzi...kusingekuwa na siri lazima sister wako angekuja kujua tu.
 
Back
Top Bottom