Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #221
Kupunguza stress unawa-block wale ving'ang'aniziKuzaa nje ya ndoa ni raana sa sjui mnataka mfarijiane kwa kipi
Au mnataka mjadiliane jinsi ya kupunguza stress maana nyumbani stress nyumba ndogo nako stress
Hapana, watakuwa wasumbufuWasipokuwa na mwelekeo ni laana?
Hapana, watakuwa wasumbufuWasipokuwa na mwelekeo ni laana?
Usifuatilie simu yake, na watoto ulionao usiwapime dnaHuko ndani nafasi yangu haipo nina mmoja tu
Tofautisha wamama na wasichana, inawezekana hao nao kuna watu waliwaharibia maisha.Hapa mtaani kuna wamama wanatafuta watu wa kuzaa nao
Wanao oa siku hizi ni wachache, wengi wanazeeka wakiwa wenyeweTofautisha wamama na wasichana, inawezekana hao nao kuna watu waliwaharibia maisha.
Ndio narud pale pale unachangia kuiharibu dunia.Wanao oa siku hizi ni wachache, wengi wanazeeka wakiwa wenyewe
Hakuna asiyependa kuwa na watotoNdio narud pale pale unachangia kuiharibu dunia.
Hili lina ukweli sana ,labda wabaki kila mmoja kwa mzazi wake (mama) ila kuwaweka nyumba moja haiwezekani.Nilichojionea kutoka kwa Baba yangu juu ya watoto wakimatabaka litabaki kuwa darasa kwangu juu ya athari zilizopo kwenye mfumo wa maisha ya namna hii.
Kama watoto hawataishi kwa kupendana na kushirikiana jua kwamba umetengeneza bomu litakalo kuathiri siku zote za uzee wako.
Utakuwa unamtuma ugoro nani huko uzeeni?Kuzaa watoto ni utumwa ,ukubwani unataka kuwasumbua ili upate msaada.
Hakuna haja ya kuzaa watoto ,kulq maisha yako kivyako .
Tutakuwa tulishazeeka (vikongwe), na busara zitakuwepo kwenye maamuziAiseee ngoja.wakue wakuweke.status fathers day utajuta.
Ukitambulisha mapema, unaweza kuharibu imani iliyopo sasa. Muhimu waliopo kwenye ndoa kuwapa kipaumbele kwanza.Mzeee kwenye point ya Mafanikio kipengere namba moja ni vibaya sana kutotambulisha watoto wako wa nje Kwa bi mkubwa brother I had a lot of experience narudia tena hiyo ni mbaya sana
Inatokea tu mkuu.Dah!,sita
Jitahidi mali ya bi mkubwa iwe yake na familia yake. Hao wengine wape mali zao au jenga moja kwa ajili yao na uandike.Tutakuwa tulishazeeka (vikongwe), na busara zitakuwepo kwenye maamuzi
Lakini kweli,anayezaa nje ya ndoa ni mwanamke. Mwanaume hazai.Haijawahi kutokea mwanaume akazaa rekebisha hapo