Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Umeongea kiimani zaidi; USA inataka kumiliki Gaza kwa sasaKatika kitu nilikikataa ni kuzaa nje ya mke wangu, na siji kufanya jambo hilo, kwakuwa haliji bahati mbaya bali unakuwa umelipanga, maana hapo haujatoa sababu maana zaidi ya ulafi kama ulivyosema, na ulafi sio tabia nzuri, hata kwa watoto tunawakataza kuwa tabia nzuri
DaaahUkizaa mbali ni shida ni vigumu kupewa mtoto; kuna prof. fulani sasa hivi amezeeka sana alikaa nje muda mrefu, Ujerumani na USA, akazaa na watu wa huko, muda ulipoisha na Kurudi tz; watoto wakabaki kwa wazungu, huyo mzee katika maongezi alikuwa anasikitisha sana, hana mtoto kwa sasa.
Nb: Wageni ni vigumu kukuachia mtoto
Na nitawapenda sana, kuna mipangilio napambana nayo, ili wao huko baadaye wajivunie kuwa na baba equation xNakuona ukiwa na wajukuu wengi sana hapo baadaye🤣
Uache ulafi!! ni uharibifu usio kuwa na msingi, kama mkeo anazaa mzalishe ili na wenzako wapate fresh women, unafikiri nani anapenda Singo mazazUmeongea kiimani zaidi; USA inataka kumiliki Gaza kwa sasa
Tatizo nikiwaweka karibu, mfuko unatoboka haraka 😀Hongera sana kijana ma X watamu sana aisee, unao 6 utafaidi sana kwa kweli.
ha ha haHongera fisi mzee.
UsiogopeBastard is bastard
Huyo jamaa ni HEMED PHD fala mmoja wa bongo muvi naona amezingua na bado anazingua kutumia kitombeo vibaya!Kwaiyo bro, wewe equation x ni kiwanda Cha kutengeneza single Mama.
Ndio mwisho lakini au 2035 uta update Uzi wamefika 12 😃😃ha ha ha
Wao ni watu wazima, umri wao ni miaka 30+ na wako na fani mbalimbali, watakuwa wanajua wanachokifanyaUache ulafi!! ni uharibifu usio kuwa na msingi, kama mkeo anazaa mzalishe ili na wenzako wapate fresh women, unafikiri nani anapenda Singo mazaz
Sina uhakika kama watoto ni wangu chiefWote waliosoma huu uzi, utakuwa unawahusu.
Looh😳😳Mimi kwa haraka haraka nahisi nna watoto kama wa4 nje. Sema cha kufurahisha ni kwamba, katika hao wanne, ni mmoja tu ambae namhudumia. Hao watatu wengine mama zao wameolewa na wamewabambikizia waume zao wanalea. Wawili niliwazalisha kabla hawajaolewa, mmoja tu ndio alikua tayari ameshaolewa.
Unao wangapi?Acha nipite
Ndani ya ndoa zao kuna watoto wetu 😃Mimi kwa haraka haraka nahisi nna watoto kama wa4 nje. Sema cha kufurahisha ni kwamba, katika hao wanne, ni mmoja tu ambae namhudumia. Hao watatu wengine mama zao wameolewa na wamewabambikizia waume zao wanalea. Wawili niliwazalisha kabla hawajaolewa, mmoja tu ndio alikua tayari ameshaolewa.
Katika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.
Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;
Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.
Changamoto ninazokutana nazo:-
Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta. Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23). Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.
Mafanikio:-
Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza. Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11. Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua
Changamoto block list imejaaKatika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.
Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;
Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.
Changamoto ninazokutana nazo:-
Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta. Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23). Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.
Mafanikio:-
Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza. Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11. Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.
Karibuni kwa uzoefu
Wana list yao maalum hao inaitwa black list..ni pasua kichwa ukiwatoa kwenye listKatika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.
Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;
Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.
Changamoto ninazokutana nazo:-
Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta. Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23). Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.
Mafanikio:-
Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza. Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11. Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.
Karibuni kwa uzoefu
Lazima watakutafuta huko mbeleniMimi kwa haraka haraka nahisi nna watoto kama wa4 nje. Sema cha kufurahisha ni kwamba, katika hao wanne, ni mmoja tu ambae namhudumia. Hao watatu wengine mama zao wameolewa na wamewabambikizia waume zao wanalea. Wawili niliwazalisha kabla hawajaolewa, mmoja tu ndio alikua tayari ameshaolewa.