Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Bwebwe nyingi mara sijui roboti anajua kilakitu nimejaribu na huu ndio ushubwada wa huyo robot wenu..
Screenshot_20230416-201823_ChatZ.jpg
 
Sijui kwanini akili yangu inaniambia kuwa AI will always be for funny. Sijui kwanini siamini mtu akitaka kufanya kitu serious atafikiria kifanywe na mtu sio AI. Sijui kwanini.
Mkuu kitu serious kama kipi? Ungewekanwazi hapo ili tupate mifano mujarab.
 
Nimepita you tube. Wiki hii nilikutana na story moja sema nimeshau title nitaifuta niweke hapa.
Ile habari kuna mama mmoja anatoa habari kama vile mble ya kamati au press jinsi maroboti yalivyoweza kula njama na kuua wafanyakazi 8.

Hali ilivyokuwa hivyo ikabidi watu wayashambulie maroboti kwa silaha kama bunduki na kuya shut down. Cha ajabu Roboti mmoja akiwa amejeruhiwa alikutwa amehack mfumo ktk satelaiti na anauliza internet jinsi ya kujifanyia repair. Nafkiri ilikuwa Japan. Ngoja nitafute ile habari you tube
 
Wadau Kwanini siku hizi kila niki login chat gpt inakua hivi, ni wiki ya tatu sasa hata nilipobadili email au kujaribu kwa muda tofauti tofauti bado naona hali ni ile ile
IMG_8184.png
 
Nimepita you tube. Wiki hii nilikutana na story moja sema nimeshau title nitaifuta niweke hapa.
Ile habari kuna mama mmoja anatoa habari kama vile mble ya kamati au press jinsi maroboti yalivyoweza kula njama na kuua wafanyakazi 8.

Hali ilivyokuwa hivyo ikabidi watu wayashambulie maroboti kwa silaha kama bunduki na kuya shut down. Cha ajabu Roboti mmoja akiwa amejeruhiwa alikutwa amehack mfumo ktk satelaiti na anauliza internet jinsi ya kujifanyia repair. Nafkiri ilikuwa Japan. Ngoja nitafute ile habari you tube
Binadamu anatengeneza vitu za hatari sana, AI mwisho wake hautakuwa mzuri
 
Kama unahisi ni akili mgando mbna we umeshindwa kugunduq chochote??!!;; Ukweli ni kuwa kwenye technology Kuna siri nyingi
 
Nimepita you tube. Wiki hii nilikutana na story moja sema nimeshau title nitaifuta niweke hapa.
Ile habari kuna mama mmoja anatoa habari kama vile mble ya kamati au press jinsi maroboti yalivyoweza kula njama na kuua wafanyakazi 8.

Hali ilivyokuwa hivyo ikabidi watu wayashambulie maroboti kwa silaha kama bunduki na kuya shut down. Cha ajabu Roboti mmoja akiwa amejeruhiwa alikutwa amehack mfumo ktk satelaiti na anauliza internet jinsi ya kujifanyia repair. Nafkiri ilikuwa Japan. Ngoja nitafute ile habari you tube
Hii habari hii hapa.
Unaweza kuishaji YouTube. Robots kiiled 29 lab technicians
Screenshot_20230419-113444.jpg
 
AI imekuwa gumbo sana 2023 ,hii ni revolution kwny kila industry, hususan media na music industry,juzi nlikuwa naandaa kampuni yangu huwezi kuamini kila ktu nimekifanya kwa AI ,from chatgpt,hadi AI websites creator zpo,hyo
Chatgpt 4 ni hatari sana ,nazifuatilia sana hzi kazi mpaka basi
 
AI bado inaonyesha ni jinsi gani binadamu alivyo na uwezo mkubwa wakufikiri ijapokuwa hajatumia hata nusu ya uwezo wake katika kufikiri
Mwenyeezi Mungu aliweka CPU of Intelligence na akajaza mavitu mengi sana pale, kuna watu wanatumia let say 30% ya kile alichopandikiza Mola ila ni bado sana kufikia 51% ya CPUI.

Haya tunayoshuhudia Mola mwenyewe amesema, kipindi anakaribia kumtuma nabii Issa although Yesu Kristo kuja kuweka mahakama, maarifa yataongezeka, watu wataenda huko na huko Daniel 12:4 na Ayubu 36:3.
 
Nafikiri huu ni muda sahihi hata kwa sisi tuweze kudandia hili gari la A.I, teknolojia yake inaenda kwa kasi sana kiasi kwamba mabadiliko yanayoletwa kila siku yanastajaabisha.
Naomba kujua hizi picha zimetengenezwa na A.I gani? TODAYS
 
Kwahiyo unafikiri kwamba hao wazungu wanatumia uwezo wa akili zao kufikiri? Mbona sisi Waafrika tumeshindwa? C'mon dude hao watu wana siri zao.
Kwa hyo kitu chochote anachoshindwa mtu fulani basi hakiwezekani kwa kila mtu?, nakubali siri zitakuwepo kulinda teknolojia husika lakini naona hapa kama unataka kuleta mada ya nguvu za giza
 
AI ni moja ya tools zitakazotimika kurahisisha kazi iwe graphic deaigning, programming n.k. AI haitapunguza ajira bali itaongeza ubora wa kazi, ni moja ya tool kama tools zingine.
 
Back
Top Bottom