Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Chochote kilichotengenezwa na binadamu hakiwezi kuwa na uwezo kuliko binadamu.Msingi wa kila kitu ndio kitu chenyewe.kwa mfano gari kua na nguvu na uwezo wakukimbia kuliko binadamu haimaanishi kua hilo gari lina nguvu na akili kuliko binadamu.kwasababu mawazo ya binadamu ndiyo yaliyotangulia kwanza kufika kwenye uwezo wa mwisho wa hivho chombo ndipo akarudi kukitengeneza na kuweka hizo nguvu na uwezo kwenye gari.Binadamu wanatengeneza mashine ili wajirahisishie kazi sio ili ziwazifi akili kwasababu hicho kitu hakitatokea.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Safi kabisa wengi hawaamini katika hili na wanaona hizo AI na Learning Machines ni bora kuliko binadamu, huwa nawashangaa sana hawa watu na huwa wanakubali kabisa wao hawana thamani tena na hayo maroboti ndiyo yamechukua uthamani wao wana sahau kua binadamu na akili yake aliyopewa na MUNGU ndiyo katengeneza hizo roboti yamrahisishie baadhi ya kazi zake kwenye maisha..
 
Promo sasa hii mbona kuna kijana wa kitanzania anatengeneza solar. Endelea kushangaa vya wazungu.
Sema ana assemble solar.Thin film technology sio ya kitoto.
Silicon base technology
you need very softcated machines.
If you jave that capacity to make solar you can even move one step to wafer and then chip/semiconductor devices
Hata ulaya sio nchi zote zimeweza kwenda hio hatua. Wahindi na akili zao bado hawajaweza.
UK, Nedherkand, US, Japan Korea Kusini,Taiwan China ndio wenye ujuzi wa hizi technolojia.
Assembling solar cells is not a big deal.
Is like assembling a car.
The big deal in car is ability to design make and manufacture in mass production using modern softcated technology kama robots nk.
Waafrika tunspapasa teknolojia hatujaamua kuingia ndani na kuibua wanachofanya wengine.
Siku nikiona vijana wamejitumbukiza kwenye mambo haya basi nitaamini tumepata suluhisho

1.Engine design. Hapa kila aina ya engine
Kwa nini. Kila chombo kinachotenbea kinatumia engine.
2.State of the art.
Kwa nini? Hii ndio chimbuko la teknolojia zote za kisasa, kuanzia viwanda,kilimo,afya nk.
Kwa ufupi semiconductor ndio kila kitu, na ndio maana nchi kama China wanataka wajitosheleze waepukane na vikwazo vya wazungu.
3.Machinery.
Machines which make machine mfano cnc, printer nk.
4.Medicine.
5.Software. hapa nazungumzia software sio vi app vya kupiga picha au kupanga nyimbo. Kwa muda mfupi wachina waliwekewa vikwazo na google wakaja na Harmony. Hivi sisi tukifungiwa na wazungu kutumia software zao tutafanyaje? Hebu tuwe serious Warusi wamefungiwa mfumo wa fedha wameunda wakwao sisi je.
6.Nano scale tech
7.AI
9.Quantum computer.
10.Militaty technology.

Vijana wajitoe waaanzishe kampuni za hizo sekta vinginevyo tutasubiri sana ba kujifariji huku tukiachwa mbali.
Vijana waache habari kampuni za kutoa services ambazo ndio kimbilio la wengi kwa sababu ni rahisi kuziendesha.
Tuende kwenye innovstion driven vompany. We must have big dream.
 
Safi kabisa wengi hawaamini katika hili na wanaona hizo AI na Learning Machines ni bora kuliko binadamu, huwa nawashangaa sana hawa watu na huwa wanakubali kabisa wao hawana thamani tena na hayo maroboti ndiyo yamechukua uthamani wao wana sahau kua binadamu na akili yake aliyopewa na MUNGU ndiyo katengeneza hizo roboti yamrahisishie baadhi ya kazi zake kwenye maisha..
Nyie mna mzaha muwe seriou. Dunua ya sasa haitaki watu conservative, mysishi kayika past wakati wenzenu wapo kwenye future.
Elon Musk amesema "AI research must slow down" Mnaelewa maana yake?
Chat gpt4 inafanya mambo makubwa ambayo binadamu hawezi kuyakumbuka yote.
Mkumbuke AI inaundwa na mamilioni ya binadamu sio bibadamu momoja, iweje binadamu mmoja aje ashindane na AI !
Movie nyingi zilisha tabiri hatari ya kuunda vitu tutakavyoshindwa kuvidhibiti.
AI zinatoa majibu na mengine sio kwa usahihi, hata binadamu hatoi majibu ya usahihi muda wote.
Halafu utasemaje mashine haina nguvu kumzidi binadanu wakati inamzidi nguvu na sasa akili.
Binadamu ana counciousness,feelings, machine haina. Machine ina akili bandia.
Wazungu wanajindaa namna ya ku cope na AI sisi tunajifariji.

Muda utasema ukweli.
 
Mkuu AI zote unazoziona na utakazoendelea kuziona muundaji Creator na MUNGU wa AI ni Binadamu kwa hio panua bongo yako na kingine Cha kukuongezea AI sio binadamu AI ni mfumo wa program za data unaoundwa na binadamu kurahisisha kazi tofauti tofauti za binadamu, na kingine nikupanue ubongo kwa usichokijua AI haiwezi kufanya kazi au kufanyia kazi Jambo ambalo haijalishwa na programmers

Mfano: mdogo ili AI ichakate hesabu ya kujumlisha na kutoa lazima uwe imepandikizwa formula ya kujumlisha/kutoa bila hivyo AI haitoweza kufanya hesabu hio ambayo huwekwa na programmers

Km umewahi fanya Coding Java au C# utanielewa au km umepiga Python na PHP utanielewa km upo mkavu hujui hata JavaScript ni nini basi niishie hapa
Mkuu nikuuluze swali.
Hivi i muhazabe porini kule akipewa hesabu za kujumlisha na kutoa na kugawanya atafanya ?
Kwa nini mnasahau kuwa hata binadamu anapitia programu maalumu kopata huo uwezo. Elimu ni programu. Na nara buingi tu neno orogramu ta elumu.. limetumika.
Ninadamu anslushwa data tu jama jixo machine yofauyi ni abiliyy to reasoning.
Mfsni Chat gpt4 haina uelewa wa kikomo na kujua inaongea na mtu wa aina gani.
Jamii huwsita watu
Msomi
Sio msomi au ngumbalu.
Hata hapa tupo tunalishana data.
 
Facebook walitengeneza robots zao mbili lakin walilazimika kuzizima baada ya kuwazidi akili kwa kubuni lugha yao ambayo hakuna binadamu aliyeweza kuitambua zaidi Yao tu (robots)
Mkuu hii scandle umeamua kufa nayo kimya kimya!!?
Umeizimia kwenye gear
 
Aiseee

Kwa AI imzidi akili binadamu?

AI ina limit kubwa sana ya vitu inavyoweza “kujifunza”
Akili ya binadamu haina ukomo wa kujifunza

AI inategemea kwa asilimia 100 AKILI za binadamu na inafanya yake tu Akili ya binadamu imeilisha kufanya..

AI inatoa tu kile ilicholishwa kwa UFASAHA na HARAKA kuliko akili ya binadamu

Akili ya binaadamu inaongozwa vitu kama utashi na hisia, vitu ambavyo AI haina
Kuna jamaa amegusia kitu hapo juu, kuhusu FACEBOOK kuzima AI robot zake mbili baada ya kuwashinda akili kwa kile kinacho daiwa hao robot wamekua na tabia yao ngeni na kutengeneza lugha ambayo walikua wanaijua wao tu! Nilisha pekua hiyo habari huko google nikastaajabu sana! Endelea kukaza fuvu[emoji3517][emoji3517]

Unafikiri ni sababu gani kina musk na wenzie wameitilia shaka hii project na kushauri isiboreshwe zaidi!!? Kutakua hakuna mtaalamu wa kuidhibiti AI baada ya muda na option itakua ni kukata umeme tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaa huko huko namtumbo endelea kula viazi vitamu
 
Kitu nilicho ona hapa ni mkanganyiko wa kuelewa nini mtoa mada alilenga

Robot ni kifaa tu kama simu au computer, hivyo baadhi ya watu wanaposikia AI mawazoyao yana egama kwenye ROBOT badala ya kuelewa nini kinaongelewa au mleta mada alilenga wapi!

Hii mada haihusiani na robot kwa jinsi nilivyo ielewa
 
Sema ana assemble solar.Thin film technology sio ya kitoto.
Silicon base technology
you need very softcated machines.
If you jave that capacity to make solar you can even move one step to wafer and then chip/semiconductor devices
Hata ulaya sio nchi zote zimeweza kwenda hio hatua. Wahindi na akili zao bado hawajaweza.
UK, Nedherkand, US, Japan Korea Kusini,Taiwan China ndio wenye ujuzi wa hizi technolojia.
Assembling solar cells is not a big deal.
Is like assembling a car.
The big deal in car is ability to design make and manufacture in mass production using modern softcated technology kama robots nk.
Waafrika tunspapasa teknolojia hatujaamua kuingia ndani na kuibua wanachofanya wengine.
Siku nikiona vijana wamejitumbukiza kwenye mambo haya basi nitaamini tumepata suluhisho

1.Engine design. Hapa kila aina ya engine
Kwa nini. Kila chombo kinachotenbea kinatumia engine.
2.State of the art.
Kwa nini? Hii ndio chimbuko la teknolojia zote za kisasa, kuanzia viwanda,kilimo,afya nk.
Kwa ufupi semiconductor ndio kila kitu, na ndio maana nchi kama China wanataka wajitosheleze waepukane na vikwazo vya wazungu.
3.Machinery.
Machines which make machine mfano cnc, printer nk.
4.Medicine.
5.Software. hapa nazungumzia software sio vi app vya kupiga picha au kupanga nyimbo. Kwa muda mfupi wachina waliwekewa vikwazo na google wakaja na Harmony. Hivi sisi tukifungiwa na wazungu kutumia software zao tutafanyaje? Hebu tuwe serious Warusi wamefungiwa mfumo wa fedha wameunda wakwao sisi je.
6.Nano scale tech
7.AI
9.Quantum computer.
10.Militaty technology.

Vijana wajitoe waaanzishe kampuni za hizo sekta vinginevyo tutasubiri sana ba kujifariji huku tukiachwa mbali.
Vijana waache habari kampuni za kutoa services ambazo ndio kimbilio la wengi kwa sababu ni rahisi kuziendesha.
Tuende kwenye innovstion driven vompany. We must have big dream.
Mzee[emoji23][emoji23] kama ulikua unatumia MIC itakua imesha loa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bado kuna mikaza fuvu haitokaa ielewe, na sio kwa bahati mbaya, watakua wamekusudia kutoelewa
 
Sema ana assemble solar.Thin film technology sio ya kitoto.
Silicon base technology
you need very softcated machines.
If you jave that capacity to make solar you can even move one step to wafer and then chip/semiconductor devices
Hata ulaya sio nchi zote zimeweza kwenda hio hatua. Wahindi na akili zao bado hawajaweza.
UK, Nedherkand, US, Japan Korea Kusini,Taiwan China ndio wenye ujuzi wa hizi technolojia.
Assembling solar cells is not a big deal.
Is like assembling a car.
The big deal in car is ability to design make and manufacture in mass production using modern softcated technology kama robots nk.
Waafrika tunspapasa teknolojia hatujaamua kuingia ndani na kuibua wanachofanya wengine.
Siku nikiona vijana wamejitumbukiza kwenye mambo haya basi nitaamini tumepata suluhisho

1.Engine design. Hapa kila aina ya engine
Kwa nini. Kila chombo kinachotenbea kinatumia engine.
2.State of the art.
Kwa nini? Hii ndio chimbuko la teknolojia zote za kisasa, kuanzia viwanda,kilimo,afya nk.
Kwa ufupi semiconductor ndio kila kitu, na ndio maana nchi kama China wanataka wajitosheleze waepukane na vikwazo vya wazungu.
3.Machinery.
Machines which make machine mfano cnc, printer nk.
4.Medicine.
5.Software. hapa nazungumzia software sio vi app vya kupiga picha au kupanga nyimbo. Kwa muda mfupi wachina waliwekewa vikwazo na google wakaja na Harmony. Hivi sisi tukifungiwa na wazungu kutumia software zao tutafanyaje? Hebu tuwe serious Warusi wamefungiwa mfumo wa fedha wameunda wakwao sisi je.
6.Nano scale tech
7.AI
9.Quantum computer.
10.Militaty technology.

Vijana wajitoe waaanzishe kampuni za hizo sekta vinginevyo tutasubiri sana ba kujifariji huku tukiachwa mbali.
Vijana waache habari kampuni za kutoa services ambazo ndio kimbilio la wengi kwa sababu ni rahisi kuziendesha.
Tuende kwenye innovstion driven vompany. We must have big dream.
We umebarikiwa nini au kuandika
 
Unafikiri ni sababu gani kina musk na wenzie wameitilia shaka hii project na kushauri isiboreshwe zaidi!!? Kutakua hakuna mtaalamu wa kuidhibiti AI baada ya muda na option itakua ni kukata umeme tu.
Shida ni kuwa hizi AI zinacombine akili za watu wengi na nyingne zinawekewa uwezo wa kufikiri nje na system walioziundia (wanataka ziweze kufikiri kama mtu) wanasahau kuwa binafamu awezi tumia ubongo wake Kwa 100% sasa unapo tengeneza kifaa kinachoweza tumia akili yake kukuzidi jua kinaweza kuwa tatizo.

Mfano Ile movie ya Lucy Yule dem aliyotumia madawa brain usage ilipofika 20% alionekana kama sio mtu WA kawaida sasa fikiria Kwa AI iwe na uwezo wa 60% Tu itakuweje? Japo Ile ni movie tu
 
We umebarikiwa nini au kuandika
Siamini ktk neno kubarikiwa. Kwaenye sayansi hakuitaji sana maneno hayo, yanafaa kwenye mambo ya kijamii hasa dini.
Nimezungimzia zaidi vijana, mie na watu wa rika langu tumeshafeli. Watu wa umri wetu huko ulaya wanamakampuni sisi tuna viajira uchwara aliejitahidi sana ana kakampuni ka kutuoa huduma au maintanance.
Tunatakiwa tuwekeze nguvu kubwa kwa vijana, maana vijana nfio watajaoihenga keo ba kesho.
Kukujibu swali lako i'm gifted with critical thinking and argumentation.
Jana nimeanza kuandika lugha mpya ya kibantu, nikipata nguvu ya kuiandokaka kola siku mwezi wa 12 nitaanza kuongea na watoto wangu na wife. Hii ndio itakuwa lugha yao rasmi ya asili..
Nakupa kionjo cha salamu tu.
Hawaraye ?
Utajibu.
Ino Hanaraye
Hawarayo?
Ino, hanarami.
Good day.
 
Shida ni kuwa hizi AI zinacombine akili za watu wengi na nyingne zinawekewa uwezo wa kufikiri nje na system walioziundia (wanataka ziweze kufikiri kama mtu) wanasahau kuwa binafamu awezi tumia ubongo wake Kwa 100% sasa unapo tengeneza kifaa kinachoweza tumia akili yake kukuzidi jua kinaweza kuwa tatizo.

Mfano Ile movie ya Lucy Yule dem aliyotumia madawa brain usage ilipofika 20% alionekana kama sio mtu WA kawaida sasa fikiria Kwa AI iwe na uwezo wa 60% Tu itakuweje? Japo Ile ni movie tu
Balaa tupu! Na hapa ndipo wakaza fuvu hawapaelewi! Kunamijitu ni mibishi dunia ya mwisho
 
Back
Top Bottom