Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,395
- 3,177
Naona Ajibu anashangiliwa Sana. Yes. Hata sisi tulipokuwa wabovu Ajibu huyuhuyu ndio alikua Star wetu wa timu.
Huwezi kuwa na timu nzuri halafu Ajibu akawa Star, HAIWEZEKANI. Ukiona Ajibu anasifiwa Sana kwamba anaibeba timu jua shuhuli imeisha!
#Njoeni mnipige nipo hapa mitaa ya Jangwani
Huwezi kuwa na timu nzuri halafu Ajibu akawa Star, HAIWEZEKANI. Ukiona Ajibu anasifiwa Sana kwamba anaibeba timu jua shuhuli imeisha!
#Njoeni mnipige nipo hapa mitaa ya Jangwani