Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hana uwezo wa kufanya mkutano bila kusomba watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi iendelee
Aibu sanaHii nchi hii
Mwenye akili hawezi kwenda kwenye mikutano ya CCM, wanaenda wanaokula kwa mgongo wa CCM.
CCM ni chama Tawala lazima waende 🐼Mwenye akili hawezi kwenda kwenye mikutano ya CCM, wanaenda wanaokula kwa mgongo wa CCM.
Huna hata aibuKawaida
Hawa hamnazo kabisa akili vinyesi
Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Wewe ndio huna aibu 🐼Huna hata aibu
Hawajakosea, walimu ni hirizi za ccm 😹Hapo walengwa wakuu waalimu 😂😂
Waalimu wa nchi hii sijui wamewakosea nini watawala?
wenye kupata mkate wao kutoka ccm siyo wengine, in particular wanaojilewa!CCM ni chama Tawala lazima waende 🐼
Wanabembeleza watu hadi sasa wanagomaHivi hatujapata Makamu Mwenyekiti wa Chama?
Wakatoe maelezo ya utekelezaji wa Ilani ya Chama kilichopo madarakani.CCM ni chama Tawala lazima waende 🐼