Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Huyo mkurugenzi baadae ndio anapewa jukumu la kusimamia mchakato wote wa kuhesabu kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 aiseee!!Hawajakosea, walimu ni hirizi za ccm 😹
Huu ni ujinga ulio tukuka. Niache kazi zangu nikahudhurie mkutano? Seriously
Hawana cha kukufanya, Jumamosi siku ya mapumziko, watu wanafanya shughuli zao binafsi, waulize kama watakulipa fidia kwenye hasara utakayopata shughulini kwako?Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Imeagizwa warekodi mahudhurio, wasiofika watafukuzwa kaziHuu ni ujinga ulio tukuka. Niache kazi zangu nikahudhurie mkutano? Seriously
Is why wkt wangu miaka ile sikuwahi kuhudhuria huu ujinga
Kumbe wanaenda kwa lazima, nilidhani wanaenda kwa kuhamasika.CCM ni chama Tawala lazima waende 🐼
Tayari tushatazamwa, ni tunasubiria tu jambo letu (pekeji)....😹😹😹😹😹 aiseee!!
Mpaka kwenye kuchakachua kura hao hao wanatumika, basi wawatazame kwa jicho la huruma.!
Kutoka TANGANYIKA wote wamekataa Sasa tunamleta kutoka Dubai ya AFRIKA (unguja)Hivi hatujapata Makamu Mwenyekiti wa Chama?
😹😹😹 hizi dharau aiseee.!!
Mtumishi wa umma anaenda kwa lazima ndio sababu ya kuchukua mahudhurio, uwage unaelewa 😂😂Kumbe wanaenda kwa lazima, nilidhani wanaenda kwa kuhamasika.
Hii ni karibu kila mwaka hali ipo hivi
Figisu Act of Tanzania.Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Wakati wangu nilikuwa siendi , wakinibana sana naenda na kurudi, sikaiImeagizwa warekodi mahudhurio, wasiofika watafukuzwa kazi
Hawana cha kukufanya, Jumamosi siku ya mapumziko, watu wanafanya shughuli zao binafsi, waulize kama watakulipa fidia kwenye hasara utakayopata shughulini kwako?
Hadi raha yani, mtatukoma..... Make nna uhakika ni zile suti nyepesi kitambaa cha pazia yani😹😹😹 hizi dharau aiseee.!!
Kwahiyo dar mtalamba vyuti waalimu wote?!!
Huo uwezo wa kuwafukuza kazi hawana. Hapo ni posho ndogo ndogo za watakaopangwa kusimamia uchaguzi zinaanza kuandaliwaImeagizwa warekodi mahudhurio, wasiofika watafukuzwa kazi
Iko vizuri kwenye propanda.Inaelekea kuna ulegevu sana huko wa kutekeleza na kusimamia sera na ilani ya chama katika kuletea wananchi maendeleo. Na takwimu za kiuchumi zinaonyesha hivyo kwa mkoa Kagera. Bila shaka Komredi Nchimbi anataka kusisitiza juu ya hilo kwa watumishi wote.
Ni suala zuri angalau kama amechelewa sana kulianzisha.
Asante sana kwa taarifaKutoka TANGANYIKA wote wamekataa Sasa tunamleta kutoka Dubai ya AFRIKA (unguja)