Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Unabishana na wahanga wa sera ya ujinga ya sisiem!Nchimbi kamwajiri nani? Acheni kutuona mabwege nyie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabishana na wahanga wa sera ya ujinga ya sisiem!Nchimbi kamwajiri nani? Acheni kutuona mabwege nyie!
😂Kumbe wanaenda kwa lazima, nilidhani wanaenda kwa kuhamasika.
Sio yeye Wote wako hivyo mpaka yule mkubwa kabisa
Ukiupenda usiupende huo ndiyo ukweli.Hata aibu huna!
Unaongea nini wewe bibiUkiwa seerikalini ukipenda usipenda unafanya kazi kwa kutelekeza ilani na sera za chama tawala, si unakifahamu chama tawala?
CCM ndiyo inayodhibiti pesa zote za serikali zinazotumika nchi hii, pamoja na unazolipwa wewe, kumbuka hilo.
Akisaidiana na policcm.Huyo mkurugenzi baadae ndio anapewa jukumu la kusimamia mchakato wote wa kuhesabu kura.
Tena huyo mkubwa ndio hatari kabisa.Sio yeye Wote wako hivyo mpaka yule mkubwa kabisa
Iwe bojooo
Naomba Pascal Mayalla atie neno hapa na sisi walimu tupate kupona.Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Naamuru kesho nchimbi aondolewe kwenye nafasi yake awekwe pita msigwa a.k.a mbeba picha
Utaratibu Chama kilichopo madarakani ndicho hupangia serikali cha kufanya kwa kufuata Ilani iliyonadiwa wakati wa kampeni za uchaguzi. Watumishi wa serikali ndiyo watekelezaji wa Ilani hiyo wakisaidiwa na uhamasishaji wa viongozi wa Chama kilichopo madarakani.Sasa watumishi wa umma ndio waliinadi ilani majukwaani wakati wa kampeni?
pole sana muajiriwa unatesekea local gvmnt ipi hapa tz maana mpo kama mazezetaHuwezi fukuzwa kazi kwa sababu kama hiyo, sana sana utakuwa unafanyiwa figisu za chini kwa chini. Haya mambo wala hayajaanza leo, hata miaka 20 iliyopita yalikuwepo na sijawahi kufanya huo ujinga. Hata Mei mosi kuna waajiri walikuwa na tabia ya kuchukua maudhurio na sijawahi kwenda, plus mikusanyiko ya mwenge.
dunia ipi hiyo labda ya giza kama tzni mambo ya mifumo hii iko kote duniani
Sijawahi ona nchi ya kosenge kama hiiHii nchi hii
Kuacha shughuli za kiserikali kwenda kwenye shughuli za kichama tena kwa lazima ndiomaana wameweka na daftari la mahudhurioTatizo nini hapo?
Shida ipo kwenda kwa lazimakunashida gani ukienda kumsikiliza mwajiri wako ndugu
Mafuriko ya kuforce😆😆😆