Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Ukiwa seerikalini ukipenda usipenda unafanya kazi kwa kutelekeza ilani na sera za chama tawala, si unakifahamu chama tawala?

CCM ndiyo inayodhibiti pesa zote za serikali zinazotumika nchi hii, pamoja na unazolipwa wewe, kumbuka hilo.
Unaongea nini wewe bibi
 
Sasa watumishi lazima wawepo kwenye mkutano wa katibu mkuu ili Kama Kuna za kiserikali ziweze kujibiwa hili sio swala la kukubalika ni lazima wawepo mbona unakomaza kichwa kwenye masuala haya madogo mkuu?
 
Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?


Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Naomba Pascal Mayalla atie neno hapa na sisi walimu tupate kupona.

Hakika sisi waalimu niwanachama waadilifu kwa serikali lakini siku ya mei mosi sijui akili zetu zinakuwaga wapi
 
Hana uwezo wa kufanya mkutano bila kusomba watu

View attachment 3066226
Naamuru kesho nchimbi aondolewe kwenye nafasi yake awekwe pita msigwa a.k.a mbeba picha
IMG-20240804-WA0000.jpg
 
Sasa watumishi wa umma ndio waliinadi ilani majukwaani wakati wa kampeni?
Utaratibu Chama kilichopo madarakani ndicho hupangia serikali cha kufanya kwa kufuata Ilani iliyonadiwa wakati wa kampeni za uchaguzi. Watumishi wa serikali ndiyo watekelezaji wa Ilani hiyo wakisaidiwa na uhamasishaji wa viongozi wa Chama kilichopo madarakani.

Mpaka hapa huna namna lazima ujue umuhimu wa wafanyakazi wa serikali kutakiwa kutoa majibu ya utekelezaji wa shughuli za kiserikali kwa viongozi wa Chama kilichopo madarakani na wananchi kwa ujumla.
 
Huwezi fukuzwa kazi kwa sababu kama hiyo, sana sana utakuwa unafanyiwa figisu za chini kwa chini. Haya mambo wala hayajaanza leo, hata miaka 20 iliyopita yalikuwepo na sijawahi kufanya huo ujinga. Hata Mei mosi kuna waajiri walikuwa na tabia ya kuchukua maudhurio na sijawahi kwenda, plus mikusanyiko ya mwenge.
pole sana muajiriwa unatesekea local gvmnt ipi hapa tz maana mpo kama mazezeta
 
Back
Top Bottom