Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Nchimbi anaenda kukaguwa na kusimamia ilani ya chana tawala, hulielewi hilo?

Huelewi serikali inaundwa na chama kipi na inatekeleza kazi za ilani ipi?

Siyo aliyekuzidi ujinga?

Unavyoandika tu unaonesha una ujinga wa asili ulichanganyika na wa kusomea.
Hakuna utaratibu kama huo kwenye ajira wa mimi kwenda kwa lazima kwenye mkutano wa katibu mkuu wa CCM tena siku ya Jumamosi. mmewakuta maboya ndio mnawapelekesha hivyo, yeye afanye vikao na hao wajuu HRO huko.
 
Mkuu digba sowey , kwenye barua za ajira, kwenye job description zako, unaelekezwa majukumu yako pamoja na mambo mengine yoyote ambayo utaelekezwa, hivyo hayo ni maelekezo, usipotekeleza bila sababu ya msingi ni kosa la insubordination, kwanza unakula memo, maelezo yasipojitosheleza, unafunguliwa mlango na kuonyeshwa njia ya kutokea, ndio safari!.

Anayeamua ni mambo gani muhimu kwako sio wewe ni mwajiri, kama mwajiri amekuelekeza kuhudhuria mkutano wa CCM, unahudhuria hata kama wewe ni Chadema.
P.
Hakuna kitu kama hicho kwenye standing order, labbda kama hujui maana ya majukumu mengine utakayopangiwa. Huwezi nilazimisha kwenda kwenye mkutano wa kiongozi wa chama cha siasa ambacho mimi siwajibiki kwake moja kwa moja kama mwajiriwa. Hizo sheria sijui mnazisomea wapi.
Umeajiriwa kama mtu wa IT alafu bosi anakupa jukumu la kumuandalia chai, na wewe unakubali kwa sababu ni mojawapo ya majukumu mengine!!! utakuwa mpumbavu wa kiwango cha juu sana.
 
wakuu wa idara wachukue mahudhurio🤣🤣🤣🤣🤣 bora ukafugr kondoo ujue moja yaani unakuta baba mwenye watoto naye anahesabishwa namba 🤣🤣🤣🤣
Huwezi fukuzwa kazi kwa sababu kama hiyo, sana sana utakuwa unafanyiwa figisu za chini kwa chini. Haya mambo wala hayajaanza leo, hata miaka 20 iliyopita yalikuwepo na sijawahi kufanya huo ujinga. Hata Mei mosi kuna waajiri walikuwa na tabia ya kuchukua maudhurio na sijawahi kwenda, plus mikusanyiko ya mwenge.
 
Nchimbi anaenda kukaguwa na kusimamia ilani ya chana tawala, hulielewi hilo?

Huelewi serikali inaundwa na chama kipi na inatekeleza kazi za ilani ipi?

Siyo aliyekuzidi ujinga?

Unavyoandika tu unaonesha una ujinga wa asili ulichanganyika na wa kusomea.
Akague na pimbi wenzake,yeye hanilipi mshahara,sina muda wa kusikiza vilaza
Ujinga ulinifundisha weww
 
Akague na pimbi wenzake,yeye hanilipi mshahara,sina muda wa kusikiza vilaza
Ujinga ulinifundisha weww
Ukiwa seerikalini ukipenda usipenda unafanya kazi kwa kutelekeza ilani na sera za chama tawala, si unakifahamu chama tawala?

CCM ndiyo inayodhibiti pesa zote za serikali zinazotumika nchi hii, pamoja na unazolipwa wewe, kumbuka hilo.
 
Hakuna tatizo hapo! Watumishi wa umma ni watekelezaji wa Ilani ya Chama kilichoko madarakani so lazima wakasikilize mwenye Ilani.

Wao ni watumishi wa serikali ya CCM. Kumbuka lengo namba moja la Chama chochote cha siasa ni kushika dola na pili ni kuunda serikali so hap ni watumishi kwenye serikali ya CCM waende wasikie mwenye duka anasemaje
 
Back
Top Bottom