Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu digba sowey , kwenye barua za ajira, kwenye job description zako, unaelekezwa majukumu yako pamoja na mambo mengine yoyote ambayo utaelekezwa, hivyo hayo ni maelekezo, usipotekeleza bila sababu ya msingi ni kosa la insubordination, kwanza unakula memo, maelezo yasipojitosheleza, unafunguliwa mlango na kuonyeshwa njia ya kutokea, ndio safari!.Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Aibu sana!wakuu wa idara wachukue mahudhurio🤣🤣🤣🤣🤣 bora ukafugr kondoo ujue moja yaani unakuta baba mwenye watoto naye anahesabishwa namba 🤣🤣🤣🤣
Thanks a millionMkuu digba sowey , kwenye barua za ajira, kwenye job description zako, unaelekezwa majukumu yako pamoja na mambo mengine yoyote ambayo utaelekezwa, hivyo hayo ni maelekezo, usipotekeleza bila sababu ya msingi ni kosa la insubordination, kwanza unakula memo, maelezo yasipojitosheleza, unafunguliwa mlango na kuonyeshwa njia ya kutokea, ndio safari!.
Anayeamua ni mambo gani muhimu kwako sio wewe ni mwajiri, kama mwajiri amekuelekeza kuhudhuria mkutano wa CCM, unahudhuria hata kama wewe ni Chadema.
P.
Duh,
Serikaki inatekeleza ilani ya chama tawala,kisheria usipokwenda ni kosa maana mnaenda kukumbushwa kuhusu utekelezaji wa ilani,mimi binafsi nisingeenda ningesubiri adhabuNdugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Kama unajitambua huna sababu ya kwenda na wala hakuna litakalotokea. Labda Majungu na kutafutana tuu na kama wewe unatimiza wajibu wako vizuri wala hakuna litakalotokeaNdugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo walengwa wakuu waalimu [emoji23][emoji23]
Waalimu wa nchi hii sijui wamewakosea nini watawala?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tayari tushatazamwa, ni tunasubiria tu jambo letu (pekeji)....[emoji81][emoji81]
View attachment 3066241
wakati wanaajiriwa kuhudhuria mkutano wa katibu wa CCM ipo ndani ya job description??Tatizo nini hapo?
Mwalimu Nyerere angekuwa hai tungemuuliza hii no Hali kuwashurutisha na kuwadharau waalimu kiasi hiki?Hapo walengwa wakuu waalimu 😂😂
Waalimu wa nchi hii sijui wamewakosea nini watawala?
Duuuuh, kumbe ni kweli umri, mamlaka au madaraka havimfanyi mtu kuwa mwerevu!Tatizo nini hapo?
Itajulikana october 2025!
Ndiyo maana haupo serikalini.Serikaki inatekeleza ilani ya chama tawala,kisheria usipokwenda ni kosa maana mnaenda kukumbushwa kuhusu utekelezaji wa ilani,mimi binafsi nisingeenda ningesubiri adhabu
Hilo ni kweli kabisa.Duuuuh, kumbe ni kweli umri, mamlaka au madaraka havimfanyi mtu kuwa mwerevu!