Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Mkuu digba sowey , kwenye barua za ajira, kwenye job description zako, unaelekezwa majukumu yako pamoja na mambo mengine yoyote ambayo utaelekezwa, hivyo hayo ni maelekezo, usipotekeleza bila sababu ya msingi ni kosa la insubordination, kwanza unakula memo, maelezo yasipojitosheleza, unafunguliwa mlango na kuonyeshwa njia ya kutokea, ndio safari!.

Anayeamua ni mambo gani muhimu kwako sio wewe ni mwajiri, kama mwajiri amekuelekeza kuhudhuria mkutano wa CCM, unahudhuria hata kama wewe ni Chadema.
P.
 
Mkuu digba sowey , kwenye barua za ajira, kwenye job description zako, unaelekezwa majukumu yako pamoja na mambo mengine yoyote ambayo utaelekezwa, hivyo hayo ni maelekezo, usipotekeleza bila sababu ya msingi ni kosa la insubordination, kwanza unakula memo, maelezo yasipojitosheleza, unafunguliwa mlango na kuonyeshwa njia ya kutokea, ndio safari!.

Anayeamua ni mambo gani muhimu kwako sio wewe ni mwajiri, kama mwajiri amekuelekeza kuhudhuria mkutano wa CCM, unahudhuria hata kama wewe ni Chadema.
P.
Thanks a million
 
Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?


Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Serikaki inatekeleza ilani ya chama tawala,kisheria usipokwenda ni kosa maana mnaenda kukumbushwa kuhusu utekelezaji wa ilani,mimi binafsi nisingeenda ningesubiri adhabu
 
K
Ndugu Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa wanasheria wakongwe na wengineo nisiowafahamu naomba msaada wenu kisheria juu ya hili tamko ikiwa Mimi mtumishi wa umma nitashindwa kuhudhuria mkutano huu naweza kuadhibiwa Kwa sheria ipi? Na je inaruhusiwa jambo hili kisheria kumlazimisha mtumishi wa umma kutumia garama zake Kwa ulazima kama huu kuhudhuria mambo yasiyo mhusu?


Natanguliza shukrani zangu za dhati!!
Kama unajitambua huna sababu ya kwenda na wala hakuna litakalotokea. Labda Majungu na kutafutana tuu na kama wewe unatimiza wajibu wako vizuri wala hakuna litakalotokea
 
Back
Top Bottom