B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Aug 11, 2024 #101 nguvu said: Kuacha shughuli za kiserikali kwenda kwenye shughuli za kichama tena kwa lazima ndiomaana wameweka na daftari la mahudhurio Click to expand... Hahaha kazi ipo
nguvu said: Kuacha shughuli za kiserikali kwenda kwenye shughuli za kichama tena kwa lazima ndiomaana wameweka na daftari la mahudhurio Click to expand... Hahaha kazi ipo
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Aug 11, 2024 #102 nguvu said: Shida ipo kwenda kwa lazima Click to expand... Intimidating working claaa for political gain. hii ni hatari sana. Sidhani kama hata North Korea ipo hivi.
nguvu said: Shida ipo kwenda kwa lazima Click to expand... Intimidating working claaa for political gain. hii ni hatari sana. Sidhani kama hata North Korea ipo hivi.
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Aug 11, 2024 #103 nguvu said: Kuacha shughuli za kiserikali kwenda kwenye shughuli za kichama tena kwa lazima ndiomaana wameweka na daftari la mahudhurio Click to expand... Ndiyo sawa kabisa, waelewe wanaifanyia kazi serikali iliyoundwa na CCM, asiyetaka kuja na awache kazi.
nguvu said: Kuacha shughuli za kiserikali kwenda kwenye shughuli za kichama tena kwa lazima ndiomaana wameweka na daftari la mahudhurio Click to expand... Ndiyo sawa kabisa, waelewe wanaifanyia kazi serikali iliyoundwa na CCM, asiyetaka kuja na awache kazi.
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Aug 11, 2024 #104 FaizaFoxy said: Ndiyo sawa kabisa, waelewe wanaifanyia kazi serikali iliyoundwa na CCM, asiyetaka kuja na awache kazi. Click to expand... Duuuh! Ujinga kipaji
FaizaFoxy said: Ndiyo sawa kabisa, waelewe wanaifanyia kazi serikali iliyoundwa na CCM, asiyetaka kuja na awache kazi. Click to expand... Duuuh! Ujinga kipaji
Kayabwe JF-Expert Member Joined Jan 8, 2012 Posts 385 Reaction score 86 Aug 11, 2024 #105 Eti chukua na mahudhurio!Shame upon you all