Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Tulia soma alama za nyakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira za nini kwani pidudu kafanyajehao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Lazima wakukere sababu wewe ni mjinga wale wana akili kukuzidihao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Sasa unapo sema mtake msitake una maanisha nini?we vipi ?
Dr Tulia atashinda mtake msitake na Samia ndoo Rais wenu Mungu akijalia 2025-2030
Hii ya mtake , mistake hivi Bado IPO kweli? ,😂😂we vipi ?
Dr Tulia atashinda mtake msitake na Samia ndoo Rais wenu Mungu akijalia 2025-2030
Kafe bro acha keleleharafu eti watu kama nyiee ndoo mpewe nchi. hii itakuwa akili au matope? unamrushiaje mtu mawe jukwaani? kama aliyoyasema jukwaani yanakukera bora uondoke nasio huo ujinga!
Mpumbavu wewe! Wewe Mungu?we vipi ?
Dr Tulia atashinda mtake msitake na Samia ndoo Rais wenu Mungu akijalia 2025-2030
Ni akili za Chadema, yaani wameamua kuvuruga show za watuhao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Vipi siku vijana ishirini wakija kufanya Fujo kwenye mkutano wa sugu atakuja na thread Kwamba sugu hakubariki au utawalaumu CCM?Na hili Wasanii wa Tanzania wanapaswa kulifahamu, Hii ni kwa sababu ukiambatana na asiyependwa kuwa Tayari kuvurumishiwa mawe na Wananchi.
Yaliyompata Zuchu huko Mbeya ni Ushahidi wa hoja yangu.
Kingine ni hiki, ni lini Mlimuona Tulia Ackson akifanya Mkutano wa hadhara Mbeya bila Wasanii wa Dar au ngoma za asili ?
Hawezi, na ni kwa vile anafahamu kwamba Hakubaliki.
Hatashinda kwa kura. Atapewa ushindi na tume huru ya uchaguzi ambayo wote tunajua si huru, kivile.hao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Sugu awe na ushawishi au asiwe na ushawishi Cha muhimu ni kwamba hawezi shinda Mbeya na hatotangazwa na akirudia tena atatandikwa bakora mara 2 ya zile za Awadh.Na hili Wasanii wa Tanzania wanapaswa kulifahamu, Hii ni kwa sababu ukiambatana na asiyependwa kuwa Tayari kuvurumishiwa mawe na Wananchi.
Yaliyompata Zuchu huko Mbeya ni Ushahidi wa hoja yangu.
Kingine ni hiki, ni lini Mlimuona Tulia Ackson akifanya Mkutano wa hadhara Mbeya bila Wasanii wa Dar au ngoma za asili ?
Hawezi, na ni kwa vile anafahamu kwamba Hakubaliki.
Tulia ni kigagula fulani vile hakijitambui kabisa. Na asingekuwa amesoma elimu ya kisasa huyu Tulia angekuwa ndiyo vile vibibi vinavyoruka kwenye ungo kuwangia watu.Na hili Wasanii wa Tanzania wanapaswa kulifahamu, Hii ni kwa sababu ukiambatana na asiyependwa kuwa Tayari kuvurumishiwa mawe na Wananchi.
Yaliyompata Zuchu huko Mbeya ni Ushahidi wa hoja yangu.
Kingine ni hiki, ni lini Mlimuona Tulia Ackson akifanya Mkutano wa hadhara Mbeya bila Wasanii wa Dar au ngoma za asili ?
Hawezi, na ni kwa vile anafahamu kwamba Hakubaliki.
Tulia huyu huyu ashinde Mbeya?hao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Labda aliwaletea dharau wana mbeya,hawa wasanii hawakawiagi kuwaonesha watu jukwaanj middle finger 😄Ni akili za Machadema yaani wameamua kuvuruga show za watu