Pre GE2025 Tulishaandika humu kwamba Tulia Ackson hana ushawishi Mbeya bila Wasanii, Ona sasa anaponza Watoto wa watu wanapigwa Mawe

Pre GE2025 Tulishaandika humu kwamba Tulia Ackson hana ushawishi Mbeya bila Wasanii, Ona sasa anaponza Watoto wa watu wanapigwa Mawe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulia anakubalika Mbeya mjini kuliko inavyofikiriwa, sifa ya soko matola ni uvutaji wa bangi, ikizigatiwa kutokana na kashfa zilizopo venue organiser alipaswa kuliona hili mapema sana, pia isitoshe muziki wa sasa ni wa ushindani, diamond ana watu, harmonise ana watu, organiser alipaswa kuliona hili mapema, kwa vyovyote kwa upepo wa sasa, DIAMOND & ZUCHU WAPUMZIKE KWA WAKATI HUU KWA MUDA,wapishe upepo huu.
-Adios amigo
Mbeya ipi anakubalika Tulia?. Mnamkubali nyinyi tu wafanyakazi wake wa Tulia Trust
 
Piga mawe wasanii wote wanaoleta siasa kwenye burudani!!
Mwagia hata kinyesi wanajaribu kisema fulani mitano tena kwenye majukwaa ya burudani!!
 
Na hili Wasanii wa Tanzania wanapaswa kulifahamu, Hii ni kwa sababu ukiambatana na asiyependwa kuwa Tayari kuvurumishiwa mawe na Wananchi.

Yaliyompata Zuchu huko Mbeya ni Ushahidi wa hoja yangu.

Kingine ni hiki, ni lini Mlimuona Tulia Ackson akifanya Mkutano wa hadhara Mbeya bila Wasanii wa Dar au ngoma za asili ?

Hawezi, na ni kwa vile anafahamu kwamba Hakubaliki.
Wahuni na wavuta bangi hawakosekani popote pale duniani. Siku ya kura ndio mbivu na mbichi hujitenga.
 
Nashicha mbee 😁😁
Ila "kibobori" 🤣🤣🤣
 
hao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Harafu-halafu, kama kukerwa utakehereka sana, wasanii wenu wa kuhongwa na CCM hawatakiwi.
Tafuteni mbinu nyingine wezi wa kura nye
 
Vipi siku vijana ishirini wakija kufanya Fujo kwenye mkutano wa sugu atakuja na thread Kwamba sugu hakubariki au utawalaumu CCM?
Haitotokea kwa Mbeya, watahukumiwa pale pale na wananchi. Msituletee uchawa wenu kwenye shughuli za kijamii, mambo yenu ya P Diddy pelekeni CCM
 
Back
Top Bottom