Pre GE2025 Tulishaandika humu kwamba Tulia Ackson hana ushawishi Mbeya bila Wasanii, Ona sasa anaponza Watoto wa watu wanapigwa Mawe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
mtumishi wa Bwana hapo amekosea sana, nuru na giza havichangamani, hakuna hata siku moja mtoto wa mchungaji akaamini wasanii wanaweza kumnpaisha badala ya kupiga goti kwa Mungu ndiye mnpaishaji.
 
Ndio shida ya gongo, kama wana hasira waitoe ccm sio kupiga mawe watafutaji
 
hao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
LABDA WEWE NDIYO UKACHAGUE SIDIRIA ...HAKUNA MTU MWENYE AKILI ZAKE TIMAMU ANAWEZA KUTOKA KUPIGIA KURA SIDIRIA IMWONGOZE KUWA KICHWA JUU YAKE NI MPUMBAVU PEKEE ANAYE WEZA KUFANYA HIVYO.
 
hao wanao tupiwa wenzao mawe ni akili za kijima. harafu Tulia atashinda tena ambaye hapendi ajinyonge. wamenikera sana hao wajinga
Nasikia kakufanyia mpango kwenda USA kwa PAFF DADDY πŸ€£πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€ unaenda kubong'oa
 
sasa yeye ndio anaiweka ccm madarakani? angaikeni na wafanyaji sio wachekeshaji
Haya sawa, mwambie asirudie tena kuja kupiga siasa za Fisien mbeya .

Angetuimbia tu chapati πŸ˜†πŸ˜†, tungemuelewa, mbwembwe zimemponza !!
 
Kwani audience wao wanasemaje
 
Haya sawa, mwambie asirudie tena kuja kupiga siasa za Fisien mbeya .

Angetuimbia tu chapati πŸ˜†πŸ˜†, tungemuelewa, mbwembwe zimemponza !!
Ccm haiwezi ondoka kwa kumpiga Zuchu, zile ni akili ndogo sana za kukimbia tatizo
 
Atandikwe bakora sababu kagombea? πŸ˜…πŸ˜‚
Lini mraondokana na primitive thinking ? Halaf nyie ndio viongozi? No wonder tunaingia mikataba ya ajabu kws watu kama nyie ambao hamtaki kuendana na mabadiliko ya dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…