Tulishakubaliana wanawake wa JF ni dada zetu kimasihara haiwahusu

Kweli kabisa
Mimi nina nyumba na mademu wengi sana hawana time na kuna mshikaji wangu anababaikiwa sana kisa ana gari la bosi wake anawadanganya la kwake.
😅😅😅😅😅 anakula utelezi, nyumba nzuri labda uibebe kichwani.
 
Naomba uliza kwani humu JamiiForums kuna wanawake?.. maana najua humu ni fake ID.

Msaada
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] piga kwenye pori papapa tako tatu wazungu wa moscow waleeeee
Au wasomalii wa mogandishu hawa hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata kutafutata wanawake wa kuoa humu inamaana tuache?.
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, mkiwa humu ukirusha ndoana watapindisha pindisha ila ukikomaa unatoboa kiulaini tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…