Tulishakubaliana wanawake wa JF ni dada zetu kimasihara haiwahusu

Tulishakubaliana wanawake wa JF ni dada zetu kimasihara haiwahusu

Oya kuna Kimasihara nimeiweka muda Huu, nimeila Jana Jana mida ya saa Tano mpaka saa Saba.

na nmejuana nayo Jana hiyohiyo Asubuhi ya saa Nne .

anyway ni masihara ambayo ni matokeo ya Marupurupu ya kazi zetu hizi 🤣
Umetisha mkuu chap kwa haraka.
 
Hawa wa humu mkilana, wanakufanya uwe bubu, unakua huwez Tena leta visa vyako vya mitaani.

Sasa muhuni kama Mimi , almost Kila wiki lazima nipige Mbususu tofauti 2-3 labda niwe sitaki tu.

Sasa hivo visa nitawaleteaje humu?.

Anyway Kuna Warembo wakali humu, nishajitahidi kuwatupia Ndoano zangu ila wanachomoka [emoji1787].


Utasikia nahukumiwa.... Wewe Carlos weeee uhuni wako wote huo nikupe? Nitakua Sina akili kabisa .



Basi nishaamua wa Humu , nitulie tu ,hawachelewi kukuumbua na kukuchamba [emoji1787][emoji1787]
Huku story tu kula ni mtaani huko.
 
Back
Top Bottom