UrbanSaint
Senior Member
- Aug 20, 2020
- 102
- 261
Mbona watu wanakutana social media nyingne wanaanzisha mahusiano fresh tu,shida ikowapi hapa JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha mkuu chap kwa haraka.Oya kuna Kimasihara nimeiweka muda Huu, nimeila Jana Jana mida ya saa Tano mpaka saa Saba.
na nmejuana nayo Jana hiyohiyo Asubuhi ya saa Nne .
anyway ni masihara ambayo ni matokeo ya Marupurupu ya kazi zetu hizi 🤣
😂😂 nilikua sijui Depal ChakoriiHapo kuna watu wana id mbili au zaidi kama huyo chakor ndio depal mwenyew
Shkamoo dada DepalI don’t believe in kimasihara, just interest.
Af sisi sio dada zenu
Wadogo zetu na kaka zetu sisi tunawajua
[emoji1787]
Sawa MushiHata hao wakikaa vibaya unapita nao na mia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2529438
Hata humu watu wameanzisha mahusiano wengine mpaka ndoa. Sema ndio kila mtu busy na mambo yakeMbona watu wanakutana social media nyingne wanaanzisha mahusiano fresh tu,shida ikowapi hapa JF?
Amen
Asa kwanini hajatuambia siku zote hizo na sisi tujue
Huku story tu kula ni mtaani huko.Hawa wa humu mkilana, wanakufanya uwe bubu, unakua huwez Tena leta visa vyako vya mitaani.
Sasa muhuni kama Mimi , almost Kila wiki lazima nipige Mbususu tofauti 2-3 labda niwe sitaki tu.
Sasa hivo visa nitawaleteaje humu?.
Anyway Kuna Warembo wakali humu, nishajitahidi kuwatupia Ndoano zangu ila wanachomoka [emoji1787].
Utasikia nahukumiwa.... Wewe Carlos weeee uhuni wako wote huo nikupe? Nitakua Sina akili kabisa .
Basi nishaamua wa Humu , nitulie tu ,hawachelewi kukuumbua na kukuchamba [emoji1787][emoji1787]
Tupo! mimi ni mwanamke ooh sorry mimi ni msichana .Naomba uliza kwani humu JamiiForums kuna wanawake?.. maana najua humu ni fake ID.
Msaada
Oyaa kwenye hiyo list Chakorii mtoe
Mkuu mtoe na Depal