Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Umeandika ujinga
 
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Akifanya hivyo Tanzania itapata upinzani wa kweli unaojali maslahi ya Tanzania.

Shida ni asali, Ataweza kweli kurudisha asali aliolambishwa na Mama Abdul?
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Mbowe anajiona 'Angela Merkel' wa Chadema.
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Boksi la kura litaamua

Hajitoi mtu,kapigeni kura
 
Ndivyo tulivyomshauri lakini hakutilia maanani.

Hiyo haina shida, atangaze tu kuungana nao!

Akifanya hivyo ataimarisha sana Chadema na upinzani wote Tanzania kwa ujumla.

Itambidi kuweka maslahi ya Tanzania mbele ya maslahi yake binafsi. Ni uamuzi mgumu sana kwake ila Lema kamuonyesha njia, mfano wa kuigwa.
 
Mbowe keshakula pesa za watu muacheni aibu imkute
Nadhani siku zilizobaki kabla ya uchaguzi zinatosha kubadili mambo ndani ya Chadema. Busara ikitumika na FAM akakubali yaishe akajitoa na kumuunga mkono Lissu siyo tu kwamba itaondoa mgogoro bali itaifanya Chadema kuwa imara kuliko siku zote, FAM atakuwa shujaa wa demokrasia na ataenziwa daima
 
Siku ambayo Mbowe alikuwa anatangaza nia ya kugombea uenyekiti,ndio siku hiyo hiyo kulikuwa na poll inaendelea humu JF na tayari ilikuwa inaonekana kuwa Mbowe anakimbizwa,ingelikuwa ni mimi muda uleule ningetangaza nia ya kutokugombea.
Achukue tu maamuzi magumu,maana hata akishinda,atakuwa na hali ngumu katika uongozi wake,italazimu kuunda team mpya kwa ghrama kubwa sana ili apate watu waaaminifu wa kufanya nae kazi
 
Back
Top Bottom