Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Kuna box la kura shida nn?.
Nendeni huko mkamuadhibu Kwa kura
Nadhani kuna kitu huelewi hapa...kwa kutambua mchango wake ndani ya Chdenma tunamshauri tu jinsi kulinda legacy yake ndani ya chama hicho.

Hana sababu ya kugombea kwa mara ya sita! Heshima aliyojijengea ndani ya Chadema itakuwa imetiwa doa kama atapoteza, je hata hilo hulioni mdugu yangu?

Kwenye historia itaandikwa pamoja na kungángánia uenyekiti kwa miaka zaidi ya 20 bila ya mafanikio ilibidi aondolewe kwa kura baada ya wanachama kumchoka!

Kinachohitajika hapa ni busara tu!
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Mimi naendelea kubaki na Mbowe acha ifike jan 21 kila kitu kitajulikana
 
Odero Odero mgombea wa uenyekiti CHADEMA yuko radio one kipindi cha kumepambazuka anamwaga sera zake, yuko vizuri msikilizeni
 
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Nadhani atakuwa amefungwa mikono na maokoto aliyopokea. Ukikubali kula pesa ya watu huna budi kuwatumikia!

Pili, itakuwa ana washauri na machawa wa hovyo sana wanaomdanganya kuwa bado anakubalika. Matokeo yake ataharibu legacy nzuri aliyoijenga kwa muda mrefu.
 
Akifanya hivyo Tanzania itapata upinzani wa kweli unaojali maslahi ya Tanzania.

Shida ni asali, Ataweza kweli kurudisha asali aliolambishwa na Mama Abdul?
Ila Mama Abdul ni kiboko amefaulu kweli kuwavuruga na kukidhoofisha chadema apewe maua yake, mitano tena kwake
 
Ila Mama Abdul ni kiboko amefaulu kweli kuwavuruga na kukidhoofisha chadema apewe maua yake, mitano tena kwake
Mama Abdul amefanikiwa sio tu kuthibiti upinzani lakini hata CCM yote. Mikakati yake kwa upinzani anawapa asali wakikataa jela, kutekwa, kifo. Maria Sarungi, Mzee Kibao, Dr Slaa, Soka, Sativa ni mashuhuda.

Kwa CCM ukifanya kazi vizuri au ukiwa na mawazo tofauti simply unafukuzwa kazi, unapunguzwa cheo, unawekwa pembeni au unaundiwa zengwe mashahidi ni watu kama JerLisry Slaa, Ndugai, Mpina, Lukuvi na wengine wengi.

Lissu anaweza kuwa sauti pekee iliyobaki kudai katiba mpya, tume huru, kupinga ufisadi, kupunguza kasi ya uuzwaji wa rasilimali zote muhimu za nchi hovyohovyo.
 
Ila Mama Abdul ni kiboko amefaulu kweli kuwavuruga na kukidhoofisha chadema apewe maua yake, mitano tena kwake
Tofauti na wewe mimi namshukuru kwa kukiimarisha zaidi Chadema bila kujua.
Kinachoendela hivi sasa ndani ya Chadema kilitakiwa kifanyike mapema sana.
Watanzania wanazidi kuzinduka na kuukataaa UNAFIKI uliokumbatiwa huko CCM!
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Mnataka kuuwa CDM sio?
 
ni dhahiri Mbowe anagombea kwa maelekezo, labda sasa aache hivyo hivyo aje kushindwa kwa kura amwambie mama nimejitahidi nimeshindwa, naomba msamaha😀😀😀
Vyovyote iwavyo acha aende kwenye box la kura itakua vzr zaidi ashindwe huko
 
Nadhani kuna kitu huelewi hapa...kwa kutambua mchango wake ndani ya Chdenma tunamshauri tu jinsi kulinda legacy yake ndani ya chama hicho.

Hana sababu ya kugombea kwa mara ya sita! Heshima aliyojijengea ndani ya Chadema itakuwa imetiwa doa kama atapoteza, je hata hilo hulioni mdugu yangu?

Kwenye historia itaandikwa pamoja na kungángánia uenyekiti kwa miaka zaidi ya 20 bila ya mafanikio ilibidi aondolewe kwa kura baada ya wanachama kumchoka!

Kinachohitajika hapa ni busara tu!
Sawa mkuu
Mi nimesikiliza hizi sarakasi zoote ,
Na hao waliomshauri etc, huyo mtu kagoma kuachia mnafanyaje?
Ni kumsubiri tu box la kura akajifie mwenyewe
 
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze

aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Duh...!. Ushauri huu ni demokrasia mpya hii!, kwanini ajitoe kabla badala ya kusubiri kura ndio ziamue?.

Ila hili la Chadema kuwa ni sikio la kufa, tumelisema sana humu, na hatukuanza leo! CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!
P
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Tatizo deni la watu kaka
 
Back
Top Bottom