Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Boksi la kura litaamua

Hajitoi mtu,kapigeni kura
Ukimsoma mleta uzi between the line, hasemi kwamba Mbowe ajitoe kwasababu haamini katika BOX la KURA, between the line anaona kama Mbowe anakwenda kupoteza HESHIMA yake alioijenga over 30 years; atapata KURA za aibu lakini pia akishinda bado atakua kakiua chama alicho kianzisha na kukijenga kwa miongo zaidi ya 3 cause mashabiki, wanachama wa Chadema ambao sio wapiga KURA hawamkubali Mbowe, wanamkubali Lissu. Hilo ndilo analoa ambiwa mwamba
 
Nadhani kuna kitu huelewi hapa...kwa kutambua mchango wake ndani ya Chdenma tunamshauri tu jinsi kulinda legacy yake ndani ya chama hicho.

Hana sababu ya kugombea kwa mara ya sita! Heshima aliyojijengea ndani ya Chadema itakuwa imetiwa doa kama atapoteza, je hata hilo hulioni mdugu yangu?

Kwenye historia itaandikwa pamoja na kungángánia uenyekiti kwa miaka zaidi ya 20 bila ya mafanikio ilibidi aondolewe kwa kura baada ya wanachama kumchoka!

Kinachohitajika hapa ni busara tu!
Wanufaika wa pesa toka kwa mbowe hawataki Mbowe atoke hata wale wabunge haramu 19 hawataki mbowe atoke wakiamini uwepo wake ni nafuu kwake
 
Ukimsoma mleta uzi between the line, hasemi kwamba Mbowe ajitoe kwasababu haamini katika BOX la KURA, between the line anaona kama Mbowe anakwenda kupoteza HESHIMA yake alioijenga over 30 years; atapata KURA za aibu lakini pia akishinda bado atakua kakiua chama alicho kianzisha na kukijenga kwa miongo zaidi ya 3 cause mashabiki, wanachama wa Chadema ambao sio wapiga KURA hawamkubali Mbowe, wanamkubali Lissu. Hilo ndilo analoa ambiwa mwamba
Mbowe tayari ana Kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, wenje, Boniface, Sugu na wenzao kazi yake kuu ni kumdhoofisha lisu na pia kufanya uchakachuaji kuiba kura kupora ushindi wa Lisu na mbowe kuwa mwenyekiti haramu alinde madudu yake yote aliyowatendea chadema miaka yote
 
Mbowe kajiandaa kuiba kura kupora ushindi wa Lisu kwa uchakachuaji mkubwa chini ya kamati yake ya Roho mbaya ikiongozwa na mdee wenje na wenzao
 
Mbowe tayari ana Kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, wenje, Boniface, Sugu na wenzao kazi yake kuu ni kumdhoofisha lisu na pia kufanya uchakachuaji kuiba kura kupora ushindi wa Lisu na mbowe kuwa mwenyekiti haramu alinde madudu yake yote aliyowatendea chadema miaka yote
Linaeleweka hilo bro, akishinda ni kama "ushindi" wanao upataga ccm, no merits. So again, ukimsoma mleta uzi between the line, anajua yote hayo BUT anaona kama Mbowe atakua kapoteza HESHIMA yake alioijenga over 30 years. Yaani Mbowe akishinda ni kama kashindwa na akishindwa ni kama kashindwa tu, ili heshima yake ibaki kwenye vitabu vya historia ni yeye kusema, "INATOSHA" ajitoe kama alivowahi kufanya mzee Jumanne Malecela mwaka 1995 enzi za Mchonga
 
Huyu Mbowe ananishangaza sana

Kama aliweza kumpa Lowasa nafasi kwanini asimpe na Lisu

Awe na Hofu ya Mungu basi
 
Mbowe kajiandaa kuiba kura kupora ushindi wa Lisu kwa uchakachuaji mkubwa chini ya kamati yake ya Roho mbaya ikiongozwa na mdee wenje na wenzao
Halafu nyie makanda uchwara kila siku mnalaumu kuporwa kura na chama tawala kumbe mnajiibia wenyewe huko huko😎
 
Mama Abdul amefanikiwa sio tu kuthibiti upinzani lakini hata CCM yote. Mikakati yake kwa upinzani anawapa asali wakikataa jela, kutekwa, kifo. Maria Sarungi, Mzee Kibao, Dr Slaa, Soka, Sativa ni mashuhuda.

Kwa CCM ukifanya kazi vizuri au ukiwa na mawazo tofauti simply unafukuzwa kazi, unapunguzwa cheo, unawekwa pembeni au unaundiwa zengwe mashahidi ni watu kama JerLisry Slaa, Ndugai, Mpina, Lukuvi na wengine wengi.

Lissu anaweza kuwa sauti pekee iliyobaki kudai katiba mpya, tume huru, kupinga ufisadi, kupunguza kasi ya uuzwaji wa rasilimali zote muhimu za nchi hovyohovyo.
Ila Jerr Silaa alifungwa breki ya kufa mtu

Wananchiwameporwa mpaka na mabalozi wa CCM Ardhi zao
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Kwani kura si ndio ziamue? Kwanini utake ajitoe? Apambane hadi mwisho lakini aache Demokrasia iamue.
 
Kwani kura si ndio ziamue? Kwanini utake ajitoe? Apambane hadi mwisho lakini aache Demokrasia iamue.
Hata nikitumia lugha gani bado hutanielewa kwa sababu huo uwezo wa kunielewa yawezekana huna. Namshauri Mbowe kwa faida yake, simlazimishi
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.

Haukuwa peke yako ila Kuna haya:

Retire'd, Fundi Nchundo, Drlfter, Erythrocytes, Alen Kilewela, Fortila, Yericko, Tlaatlaah na myenzao:

GgorHp4XUAAE0_u.jpeg


Haijulikani yalikula ngapi ngapi kwenye join the cheini!

Yanao mchango wao kwenye kuendelea kumzuga!
 
Niimemsikiliza lema Leo Tena
Mmh ,hii nchi wanasuasa wanapitia mengi sn,Mungu awasaidie
 
Back
Top Bottom