Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Yaani unamshauri mpinzani ajitoe? Huu ushamba wa wapi?
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Nadhani amekuwa mateka wa nguvu tusiyo Iona. He is not himself
 
Hahahaa! kama Mugabe au Paul Bia, yaani mtu mmoja tu anaamini bila yeye kuwa mwenyekiti taasisi haiwezi kusimama. Yaan anaprove right kuwa yeye ni mkubwa kuliko taasisi, vitu vya hovyo sana hivi.
Tàtizo anachaguliwa kwa kura nyingi.
 
Yaani unamshauri mpinzani ajitoe? Huu ushamba wa wapi?
Huu ushauri ni katika kumsaidia Mh. Mbowe na kama hata hilo hulioni ni wazi huu mnakasha unakuzidi kimo. Kuliko kujadiliana nawe heri nijadiliane na meza kwani sidhani kama hata unalielewa neno "kushauri",
 
Hahahaa! kama Mugabe au Paul Bia, yaani mtu mmoja tu anaamini bila yeye kuwa mwenyekiti taasisi haiwezi kusimama. Yaan anaprove right kuwa yeye ni mkubwa kuliko taasisi, vitu vya hovyo sana hivi.
Mwamba nilikua namkubali ila alipokuja na mambo za Paul Biya nimemuona hana maana tena..
 
Huu ushauri ni katika kumsaidia Mh. Mbowe na kama hata hilo hulioni ni wazi huu mnakasha unakuzidi kimo. Kuliko kujadiliana nawe heri nijadiliane na meza kwani sidhani kama hata unalielewa neno "kushauri",
Nakushauri umwambie Lissu ndiye ajiuzulu.
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
KWANINI HAMUACHI KURA ZIAMUE NANI KAWALOGA,MWISHO MTAONEKANA MNAMWOGOPA MBOWE.ACHENI KURA ZIPIGWE.
 
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Hahaha daah
 
Na hio ndio Demokrasia kuachiana nafasi na sio kuwapa nafasi wapiga Kura wachague ? Ni kama vile kukemea Ubabe kwa kufanya Ubabe...
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Ni kweli. Mbowe asingepaswa kugombea ili kulinda heshima yake aliyoijenga muda mrefu.
 
Kwa uzoefu wa kucheza na kura katika chaguzi, bado ana imani hata safari hii atafanikisha zoezi (mvumilivu hula mbivu).
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Tutahesabu kura yadi saa SITA, usiogope.
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Screenshot_20250101-120119.jpg
 
Siku ambayo Mbowe alikuwa anatangaza nia ya kugombea uenyekiti,ndio siku hiyo hiyo kulikuwa na poll inaendelea humu JF na tayari ilikuwa inaonekana kuwa Mbowe anakimbizwa,ingelikuwa ni mimi muda uleule ningetangaza nia ya kutokugombea.
Achukue tu maamuzi magumu,maana hata akishinda,atakuwa na hali ngumu katika uongozi wake,italazimu kuunda team mpya kwa ghrama kubwa sana ili apate watu waaaminifu wa kufanya nae kazi
Chawa wanufaika wa pesa za mbowe akina mdee wenje sugu kileo mzee wa Tindikali kule Tabora mzee wa Sumu kwa zito na akina malya wauaji wa chawa wangwe watakula wapi endapo Mbowe atakaa bench? Hivyo vikundi wanufaika wa pesa za wizi toka kwa mbowe ndiyo humpa moyo na kumchochea Mbowe abakie mpaka sasa
 
Ila, kwa jicho la tatu, wafuasi wa lissu wanaonekana Wana wasiwasi kuliko wa mbowe. Hawatulii, hapo Kuna maana kubwa kwa wenye akili.
 
Back
Top Bottom