Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Huyo hashauriki.
Hata ufanyaje.
 
Uchaguzi utafanyika na mmoja kutangazwa Mwenyekiti...

Baada ya hapo Chadema ama itaimarika na kuwa chama chenye nguvu au ndio mwanzo wa kubomoka na kuwa chama dhaifu zaidi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…