GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
WAATHIRIKA WA AJIRA ZA QNET WAANZA KUREJESHWA MAKWAO: Waathirika wa utapeli unaofanywa kupitia Kampuni ya Biashara ya Mtandao Q Net katika eneo la Mbezi Dar es Salaam wameanza kurejeshwa makwao kupitia operesheni maalumu inayofanywa na ofisi za wenyeviti a serikali za mitaa ikihusisha kuondolewa katika nyumba wanamoishi zoezi linalosimamiwa na Polisi Kata.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbezi Louis amesema vijana hao wengi wao wakitoka nje ya mkoa wa Dar es salaam watafikishwa katika kituo kikuu cha Mabasi Magufuli ili kusubiria utaratibu wa kupata nauli za kurejea makwao na wale watakaokaidi watafikishwa mahakamani.
Chanzo: Azam TV
Wewe umeona wapi Kauli Mbiu ya Kampuni ni Salamu ya ''Good Morning' 'na hata mkikutana Mchana Saa 7 au Usiku Saa 1 bado mnatakiwa Kusalimiana hivyo hivyo 'Good Morning' tu?
Kama katika Salamu tu Wameshatudanganya (Kututapeli) katika Salamu hivi huko Kwingineko katika Masuala mazima ya Fedha na Mafanikio watakuwa Wakweli? Eti 'Good Morning' hovyo kabisa.
Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Kampuni hii ya Kitapeli ya QNET imedekezwa mno na Serikali na imeumiza pia Watanzania wengi mpaka hata kuharibu Ndoa za Watu.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbezi Louis amesema vijana hao wengi wao wakitoka nje ya mkoa wa Dar es salaam watafikishwa katika kituo kikuu cha Mabasi Magufuli ili kusubiria utaratibu wa kupata nauli za kurejea makwao na wale watakaokaidi watafikishwa mahakamani.
Chanzo: Azam TV
Wewe umeona wapi Kauli Mbiu ya Kampuni ni Salamu ya ''Good Morning' 'na hata mkikutana Mchana Saa 7 au Usiku Saa 1 bado mnatakiwa Kusalimiana hivyo hivyo 'Good Morning' tu?
Kama katika Salamu tu Wameshatudanganya (Kututapeli) katika Salamu hivi huko Kwingineko katika Masuala mazima ya Fedha na Mafanikio watakuwa Wakweli? Eti 'Good Morning' hovyo kabisa.
Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Kampuni hii ya Kitapeli ya QNET imedekezwa mno na Serikali na imeumiza pia Watanzania wengi mpaka hata kuharibu Ndoa za Watu.