Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

Biashara ya Neteork Marketing ha work kwa nchi masikini lazima ionekane ni utapeli, Qnet kama Qnet wapo sana shida Model yao kwa nchi masikini haofanyo kazi, ni the same na Folever living, GNLD na wengineo, Mfano ilianza GNLD wakashindwa wakaondoka lakini kampuni bado ipo na wana product kibao zinauzwa hata Tanzania na tunazitumia sana kama ile mbolea yao
Tapeli Mwandamizi umekuja Kuutetea Ugali wako na Kuwatapeli pia Matapeli Wenzako. Heko!!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16] idea debator, bhana sijui nisemaje ila jamaa wamekomba ma boom ya wanafunzi mbaya mbovu aisee..

Mimi mwenyew wamenila kichwa japo niliweka Tsh 10000=/ kam mtaji..


Sent from my BAC-L21 using JamiiForums mobile app
Kwa Uandishi wako tu unaonekana ni Mbwiga ( Mshamba ) hivyo umestahili 'Kupigwa' huko na hao Jamaa ili Mkome pia.
 
Sisi tunaendelea 'kudanilodi' hela, nyie mafukara endeleeni kubwabwaja tu….. kazi yenu halali ni kulima na kuwinda kama sio kufuga.
Laana itawatafuna tuu...cjui hii dhambi mtaitubu wapi?? Mnatuma watoto wa watu wakauze saa Mil 3?!! Tena mtaani!!..wakija shtuka wamepigwa wanachanganyikiwa mpaka barabara ya vumbi wanavushwa na watoto wa chekechea..!!!!😎😎😎
 
Kuna rafiki wa miaka mingi alikuwa huko. Akanishawishi sana kujiunga nikawa namkwepa. Siku nikaamua kwenda kuonana nao ofisin kwao.
Nikagundua n utapeli mtu, pesa kupata mpaka umshawishi nawe mtu wa kujiunga. Kiingilio n 5M.

Nikamwambia jamaa huo n utapeli. Sitaki kuingia huko. Kaninunia mpaka leo
na ukigoma kama ulivyogoma ww, mtu anakununia!hahaha hata mm mke wangu kanuniwa na rafiki yake kisa aligoma kuingia humo!akaanza kumwambia kuwa hapendi maendeleo yake maana anajua akiingia yy atapata hela zaidi maana kaingiza mtu etc!yaani wamesababisha watu wanagombana mitaani
 
Laana itawatafuna tuu...cjui hii dhambi mtaitubu wapi?? Mnatuma watoto wa watu wakauze saa Mil 3?!! Tena mtaani!!..wakija shtuka wamepigwa wanachanganyikiwa mpaka barabara ya vumbi wanavushwa na watoto wa chekechea..!!!!😎😎😎
Ukweli mnaojaribu kujisahaulisha ni kwamba 'mafanikio' sio kwa ajili ya kila mtu, zaidi ya 80% ya watu duniani ni mafukara wa kutupwa….. ni rahisi zaidi kuwa kundi hilo kuliko kule kwingine.
 
Uko sahihi sana Mkuu, kinachoumiza zaidi kichwa ni jibu la swali, nani alipaswa kurudishwa kwao kati ya Q-Net na wanachama wake?

Nadhani ni muda sahihi wa Serikali na vyombo vyake kulitazama hili kwa umakini zaidi.
 
Biashara ya Neteork Marketing ha work kwa nchi masikini lazima ionekane ni utapeli, Qnet kama Qnet wapo sana shida Model yao kwa nchi masikini haofanyo kazi, ni the same na Folever living, GNLD na wengineo, Mfano ilianza GNLD wakashindwa wakaondoka lakini kampuni bado ipo na wana product kibao zinauzwa hata Tanzania na tunazitumia sana kama ile mbolea yao
Utapeli tuu, eti mtu anaambiwa atoe 5 milioni na product anayopewa ni ka mashine ka kusafisha maji!! Really??
 
Back
Top Bottom