Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tutatumia hata formula ya Carbon 14 tujue umri halisi wa polepole.Huyo sasa ndiyo tutajua uhalisia wake wa umri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutatumia hata formula ya Carbon 14 tujue umri halisi wa polepole.Huyo sasa ndiyo tutajua uhalisia wake wa umri
Hayupo kwenye kundi la uzee au hata lile la vijanaTutatumia hata formula ya Carbon 14 tujue umri halisi wa polepole.
Hapa solution ni kumuambia polepole akunje suruali ili wataalam wa carbon 14 watathmini mguu wake kuanzia eneo la goti kushuka chini ili kubaini umri halisi wa huyu mtu.Hayupo kwenye kundi la uzee au hata lile la vijana
Afsdhali tutapata ufumbuziHapa solution ni kumuambia polepole akunje suruali ili wataalam wa carbon 14 watathmini mguu wake kuanzia eneo la goti kushuka chini ili kubaini umri halisi wa huyu mtu.
Ukweli mchungu huu..wapinzani hawataki kuusikia...ila ccm imejaa wezi sana na wanalindana sana..ccm ya nyerere ishaga jifia kitambo wamebaki wapiga dili tu.Kiturilo
Hakuna sheria inayoenda Bungeni bila kupitiwa na Katibu wa ccm na Mwenyekiti wa chama
Mwenyekiti ambaye ni Rais hawezi ruhusu mjadala wa kukandamiza ccm Bungeni
Bunge ni Rubber Stamp tu kuidhinisha maamuzi ya Chama
You are so young kuelewa mambo ya nchi hii
Bunge ni jina tu, Bunge lipo Ulaya na Marekani sio hapa Tz..
Alipendelea kusema " demokrasia inagharama zake"Muosha huoshwa
Ujinga ni mzigoo
🤔🤔🚶🚶🚶🚶Kiturilo
Hakuna sheria inayoenda Bungeni bila kupitiwa na Katibu wa ccm na Mwenyekiti wa chama
Mwenyekiti ambaye ni Rais hawezi ruhusu mjadala wa kukandamiza ccm Bungeni
Bunge ni Rubber Stamp tu kuidhinisha maamuzi ya Chama
You are so young kuelewa mambo ya nchi hii
Bunge ni jina tu, Bunge lipo Ulaya na Marekani sio hapa Tz..
Hakuna cha Godfather bhana! Mtu una miaka zaidi ya 40 bado unasingizia wengine! Ili iweje. Wote hawa hawana wanalolijua zaidi ya kelele majukwaani. Nape ana taaluma gani zaidi ya kujikomba?Ni yeye au ni godfather
NI yeyeeeeeeeNi yeye au ni godfather
Polepole kwa mwonekano tu, hawezi kuwa kijana. Ni mtu wa makamo.Hayupo kwenye kundi la uzee au hata lile la vijana
NImesoma maana ya IQ ulivyoieleza. Nikafuatilia maelezo yako yaliyoonesha nafasi yako ktk uongozi. Nimesikitika. Kumbe hata hujui IQ inapimwaje!! HUwezi kupima IQ kwa uwezo wa kufikiri. Kufikiri ni jambo lisilopimika.Humprey Polepole na Mimi wote tulikuwa wapiga tarumbeta, Vinanda na vinubi wakati wa JPM
Utofauti wetu ndani ya chama na sisi Yeye Humprey Polepole aliendekeza dharau kwa kuwa ni mtu wa kuja chamani, Sisi wengine na waomba msamaha wote kama Nape tuliogopa usalama wetu na Matumbo yetu
JPM alikuwa Mwamba, Sio Mwamba tu alitengeneza Longrun Leadership ya kuona hakuna mwenye mawazo na akili zaidi yake hapa TZ
Sikuwahi andika habari za Polepole Humprey hapa JF kwani niliona ana IQ ndogo sana enzi za JPM
IQ ndogo hupimwa kwa uwezo wa kufikiri wa Mtu nje ya box hasa Uvumbuzi na uwezo wa kutabiri yajayo
Polepole hana la maana kwenye Press yake na waandishi wa habari, Lengo kuu ilikuwa kutafuta ahueni kwa mkono wa sheria atakaokutana nao TCRA
Sheria za TCRA hizo hizo Bwana Cypirian Musiba alipendelewa kutukana wazee ndani ya chama huku Humprey Polepole akimsaidia Cypirian Musiba kudhalilisha watu wakati wa JPM
Polepole Humphrey kabla ya kuhitaji msamaha wa wananchi lazima atambue mtu akifariki na lake halipo hapa Duniani
Leo JPM alishaoza na hata tukiamua fukua kaburi Lake tutapata mifupa tu na si suti alizozikwa nazo
Nakiri watu wengi tulitumia uhuru vibaya wakati wa JPM hasa wale waliopata access au ukaribu wa moja kwa moja kama Makonda, Sabaya, Polepole Humprey na Genge lake
Ninaunga mkono mbinu zote za kumshughulikia Humprey Polepole ziwe unclassified au Classified kama za TCRA
Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa Duniani,
You harvest what you Planted
The higher the Risk the higher the Return or Loss
Pole alijipendekeza sana kwa JPM akijua the Man will last longer lakini Leo anavuna ujinga na upuuzi wake
Kuomba msamaha sio ujinga, Mimi niliomba msamaha hapa JF na hata ndani ya Chama niliwaomba wale niliowakosea
TCRA Futeni Channel ya huyo Humprey Polepole