Tulishiriki kutunga Sheria za TCRA, Humprey Polepole kwanini Unalia kuitwa na TCRA?

Tulishiriki kutunga Sheria za TCRA, Humprey Polepole kwanini Unalia kuitwa na TCRA?

Kiturilo

Hakuna sheria inayoenda Bungeni bila kupitiwa na Katibu wa ccm na Mwenyekiti wa chama

Mwenyekiti ambaye ni Rais hawezi ruhusu mjadala wa kukandamiza ccm Bungeni

Bunge ni Rubber Stamp tu kuidhinisha maamuzi ya Chama

You are so young kuelewa mambo ya nchi hii

Bunge ni jina tu, Bunge lipo Ulaya na Marekani sio hapa Tz..
Ukweli mchungu huu..wapinzani hawataki kuusikia...ila ccm imejaa wezi sana na wanalindana sana..ccm ya nyerere ishaga jifia kitambo wamebaki wapiga dili tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwenye akili kwa haya yanayoendelea ataona siku mojakuwa hata hawa CCM haya wanayoyafanya Kama kutunga sheria kandamizi zitawarudi wenyewe na wataanza kulalamika Kama polepole
 
Polepole ni kama Jiwe la Msingi.....
Hata baada ya Magu kufariki, Jamaa hajawahi kukaa kimya wala kuyumba ktk misimamo yake.
Hajawahi kumuogopa mtu hasa pale anapotetea anachokiamini. Kwa mathalani pale aliposimamia Hadharani kauli yake ya kuto kuchanjwa. Jamaa ni Jiwe aisee.
 
Kiturilo

Hakuna sheria inayoenda Bungeni bila kupitiwa na Katibu wa ccm na Mwenyekiti wa chama

Mwenyekiti ambaye ni Rais hawezi ruhusu mjadala wa kukandamiza ccm Bungeni

Bunge ni Rubber Stamp tu kuidhinisha maamuzi ya Chama

You are so young kuelewa mambo ya nchi hii

Bunge ni jina tu, Bunge lipo Ulaya na Marekani sio hapa Tz..
🤔🤔🚶🚶🚶🚶
 
Ni yeye au ni godfather
Hakuna cha Godfather bhana! Mtu una miaka zaidi ya 40 bado unasingizia wengine! Ili iweje. Wote hawa hawana wanalolijua zaidi ya kelele majukwaani. Nape ana taaluma gani zaidi ya kujikomba?
 
Analia kwa sababu zilitungiwa wapinzani.Unahitaji PhD ili kuyajua haya?
 
Tundu lisu antpass mungwai kiboko namnukuu maneno yake akimfafanua athari kufungia vyombo habari kuthibiti pia nakuonekana kwa bunge mubashara.

Alitolea mfano wa waziri wakwanza wa ulinzi wa Ghana ,alipeleka mswada bungeni wakiukandamizaji ukapitishwa ,mtu wakwanza kutafunwa na ile Sheria alikua waziri mwenyewe mpeleka mswada bungeni


Polepole usilie Sheria hizo sio kwajili ya chadema kuthibitiwa niwoooote kwa umoja wetu
 
Polepole na wenzako mlikuwa busy kuweka hivi visheria uchwara lakini mkasahau sheria ni kama msumeno na inapiga pande zote, acha mliwe tuu, na muombe mungu tupate katiba mpya ili wajukuu wenu waishi kwenye nchi ya haki na amani
 
Humprey Polepole na Mimi wote tulikuwa wapiga tarumbeta, Vinanda na vinubi wakati wa JPM

Utofauti wetu ndani ya chama na sisi Yeye Humprey Polepole aliendekeza dharau kwa kuwa ni mtu wa kuja chamani, Sisi wengine na waomba msamaha wote kama Nape tuliogopa usalama wetu na Matumbo yetu

JPM alikuwa Mwamba, Sio Mwamba tu alitengeneza Longrun Leadership ya kuona hakuna mwenye mawazo na akili zaidi yake hapa TZ

Sikuwahi andika habari za Polepole Humprey hapa JF kwani niliona ana IQ ndogo sana enzi za JPM

IQ ndogo hupimwa kwa uwezo wa kufikiri wa Mtu nje ya box hasa Uvumbuzi na uwezo wa kutabiri yajayo

Polepole hana la maana kwenye Press yake na waandishi wa habari, Lengo kuu ilikuwa kutafuta ahueni kwa mkono wa sheria atakaokutana nao TCRA

Sheria za TCRA hizo hizo Bwana Cypirian Musiba alipendelewa kutukana wazee ndani ya chama huku Humprey Polepole akimsaidia Cypirian Musiba kudhalilisha watu wakati wa JPM

Polepole Humphrey kabla ya kuhitaji msamaha wa wananchi lazima atambue mtu akifariki na lake halipo hapa Duniani

Leo JPM alishaoza na hata tukiamua fukua kaburi Lake tutapata mifupa tu na si suti alizozikwa nazo

Nakiri watu wengi tulitumia uhuru vibaya wakati wa JPM hasa wale waliopata access au ukaribu wa moja kwa moja kama Makonda, Sabaya, Polepole Humprey na Genge lake

Ninaunga mkono mbinu zote za kumshughulikia Humprey Polepole ziwe unclassified au Classified kama za TCRA

Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa Duniani,

You harvest what you Planted

The higher the Risk the higher the Return or Loss

Pole alijipendekeza sana kwa JPM akijua the Man will last longer lakini Leo anavuna ujinga na upuuzi wake

Kuomba msamaha sio ujinga, Mimi niliomba msamaha hapa JF na hata ndani ya Chama niliwaomba wale niliowakosea

TCRA Futeni Channel ya huyo Humprey Polepole
NImesoma maana ya IQ ulivyoieleza. Nikafuatilia maelezo yako yaliyoonesha nafasi yako ktk uongozi. Nimesikitika. Kumbe hata hujui IQ inapimwaje!! HUwezi kupima IQ kwa uwezo wa kufikiri. Kufikiri ni jambo lisilopimika.
 
Back
Top Bottom