Tulitangazwa bure Burj Khalifa...

Hii ni ile aliyosimulia mtu fulani, kwamba ile team inataka kusuka kitu ktk nchi ambacho wao na vizazi vyao watakula miongo na miongo hata ije serikali ipi!
Alipomaliza kusema vile wakamfyeka wapi yoga
 
Kuna wakati rev. Mtikila mtamwelewa
Kwani yeye ndio aliweza isemea Tanganyika openly
But nchi ina matatizo mengi sana hii
 
 

Attachments

 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…