Nimeihifadhi hii comment yako!!!Akatoboa 2025 njoo nikupe zawadi kubwa sana. Take it from me Samia 2025 hatoboi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeihifadhi hii comment yako!!!Akatoboa 2025 njoo nikupe zawadi kubwa sana. Take it from me Samia 2025 hatoboi.
Watatu tu?😷😷😷😷Rais Samia nakushauri watose sasa Spika (Tulia) na PM (Majaliwa), sakata la bandari limekumaliza kisiasa!
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua. Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa...www.jamiiforums.com