Tulitangazwa bure Burj Khalifa...

Tulitangazwa bure Burj Khalifa...

 
 
Mastermind wake ni JK na team yao.
Kiufupi ndio anaowasikiliza.
Wamemwambia atulie tu, hayo ni makelele na hayawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, yanapita.

Hii ni ile aliyosimulia mtu fulani, kwamba ile team inataka kusuka kitu ktk nchi ambacho wao na vizazi vyao watakula miongo na miongo hata ije serikali ipi!

Ndio hii IGA ya Dubei.

Usisahau think tank wao Ni R Aziz
Hawa wengine wanaotetea na kusimamisha mishipa ya shingo no mateka Tu kama Baba Levo na Rafiki zake
 
Usisahau think tank wao Ni R Aziz
Hawa wengine wanaotetea na kusimamisha mishipa ya shingo no mateka Tu kama Baba Levo na Rafiki zake
Nasikia R A, ni mchora mikakati hatari Dunia hii.

Ila kwa hili HAPANA.
 
 
Ina athari gani kwake? Kwanza ni nani kwake wewe?!!!!! Akiamua si anakuona sisimizi tu. Nashauri muhame kabisa nchi sababu yupo sana na historia ya kimaendeleo ya kiuchumi inaenda kubadilika.......na si mwingine anayeleta mabadiliko hayo ni Dr Samia Suluhu Hassan. Ikakupoteka kalipambilile (in Field Marshal Tongolanga's voice)
Akatoboa 2025 njoo nikupe zawadi kubwa sana. Take it from me Samia 2025 hatoboi.
 
Back
Top Bottom