Tulivyoachana aliniambia mtoto siyo wa kwangu, ameachwa tena anataka nimrudie

Tulivyoachana aliniambia mtoto siyo wa kwangu, ameachwa tena anataka nimrudie

Huh!
giphy-downsized-large.gif
 
BWEGE WEWE!!!

SIjaona jina zuri la kukuita zaidi ya hilo.
 
Tukiachana na kukuzalisha vipi wewe unaweza kutoa mchango gani wa kiuchumi kwenye familia?
Au unaweza kuchangia nini kwenye uendeshaji wa familia na maendeleo yake kiujumla?
Brother soma kila sentese matunzo siyo shida shida ni kuwa mke hataki kuendelea kunizalia nifanyeje
 
Brother soma kila sentese matunzo siyo shida shida ni kuwa mke hataki kuendelea kunizalia nifanyeje

Nimesoma vizuri mkuu na nimeelewa.

Najua sio wewe, ila nahoji kama huyu bi dada anaweza kuwa na lipi la maana kwenye familia zaidi ya kuzaa?
Ujue wanawake wanasahau kazi yao, kuzaa ndo kumewaleta kwani lipi wanaweza kusaidia?
 
Weka picha yake tuone anavyokimbia na tumbo lake
 
Mara upo kwa sugar mamy, Mara mkeo kapewa ujauzito-yani mnaona simu hizi Jamii forum imegeuka Instagram
 
Nimesoma vizuri mkuu na nimeelewa.

Najua sio wewe, ila nahoji kama huyu bi dada anaweza kuwa na lipi la maana kwenye familia zaidi ya kuzaa?
Ujue wanawake wanasahau kazi yao, kuzaa ndo kumewaleta kwani lipi wanaweza kusaidia?
Kuna siku tupo kwenye Mjadala na Mdau Mmoja nijaribu Kumuuliza to be honest Kitu gani Mwanamke anaweza kuoffer kwenye familia zaidi ya Mapenzi na Kuzaa.. Wakiwa na Kazi hela zao hazisaidii alipoolewa na ukiuliza hela za mshahara wako ziko wapi atakujibu hazikuhusu wewe ni jukumu lako kuhudumia Familia yako.
 

Which is which?

Wewe ndiye mwanaume mwenye mtoto au wewe ndiye unayezalishwa?unatutatanisha chini ya 15minutes una post mbili na zote hatuzielewi!
 
Samehe
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.
Ukitaka samehe Saba mara sabini.
 
MUME WANGU ANANIZALISHA MFULULIZO KILA MWAKA, NIMECHOKAAA
Duniani Vioja haviishi sasa hata hili kweli , jamani naomba ushauli nifanyaje maana nashindwa kuamua chochote
[emoji24]
[emoji24]
kaka

Wanawake wanataka nini Jamani wazae shida wasizalishwe shida ..............
[emoji24]
[emoji24]
Huyu aache ufala. Birth control zipo nyingi kwanini asifanye?
 

Which is which?

Wewe ndiye mwanaume mwenye mtoto au wewe ndiye unayezalishwa?unatutatanisha chini ya 15minutes una post mbili na zote hatuzielewi!
Kwanini mumeweka thread zangu zote humu huu ni unyanyasaji na kunifanya kichwa changu kisiwe tayari kujibu maswali 100 ya sensa hahahahahahahahahahahahahah
 
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.

Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.

Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....

Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.

Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Ufanyeje? Mafala duniani hawataisha,acha sensa ipite tuwafahamu wengine.
 
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.

Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.

Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....

Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.

Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Shigongo
 
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.

Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.

Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....

Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.

Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Ivi akili unaona kweli ???
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi yaani mimi huyu huyu ngoja nipite kimya kimya.
 
Back
Top Bottom