Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

Asingeanzisha vita pengine Moscow isingekuwepo
Adui (usa) slishafika mlangoni
Sidhani kama hili lingefanyika. USA angeogopa macho ya Dunia kwakuwa ingeonekana ni kama Invasion imefanyika.

Huenda Russia hakuwa na Mshauri mzuri au huenda Kibuli Cha Putin mwenyewe.
 
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================

Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".

It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."

Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.

  • A “Russian-made missile”
    fell on the Polish village of Przewodów, near the Ukrainian border, killing two people on Tuesday afternoon, Poland’s foreign ministry said in a statement, in what would be the first time Nato territory has been struck during the Ukraine war.
  • Poland’s president Andrzej Duda said that the explosion was a “one-off incident” and there are “no indications” that it is going to happen again. Duda said it was “most-likely” a Russian-made rocket but “we do not have any conclusive evidence at the moment as to who launched this missile … this is all still under investigation at the moment.”
AA149FGa.jpg


wao wenyewe wanaishia kusema "RUSSIAN - MADE" Lakini hakuna anayepoint moja kwa moja kwamba ni Russia amehusika. Kwahio wamejifungia kujadili tu na hakuna TAMKO LOLOTE
 
Ndugu acha kujichosha bila sababu...unataka russia wakubali tu hata kama hawajahusika...huo ni mchezo wa zelensky kuwaprovoke NATO ili awagombanishe na Urusi... kama wanaamini urusi ndio kashambulia wanasubiri nini mpaka wanaanza kujiuzauliza... Then nimegundua NATO ni wazembe kumbe kwenye masuala ya ulinzi hadi muda huu hawajui mashambulizi yametoka wapi....

Kupiga kakombora huko kijijini lazima uchunguzi ufanywe sio kitu cha kukurupuka, bomu la mjini ndio huwa rahisi kujua trajectory yake, pia jielimishe NATO sio nchi.
 
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================

Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".

It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."

Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
sidhani kama ni vyepesi hivyo
 
Haya ni maoni yako au ndio uhalisia ulivyo??

Tupo nchi ambayo kilamtua anaweza kuongea tena mambo mazito ya taifa flani bila woga. Lakin hapoalipo hana umeme , maji yanamsumbua na hata uhakika wa chakula chake haupo ila anaweza washaur wa rusi.
 
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================

Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".

It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."

Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
Kama kombola linaonyesha kabisa ni la Urusi, kuna aja gani tena ya kumuliza mtu Urusi.nyie ndo mnatakiwa kuchukua maamuzi
 
Asingeanzisha vita pengine Moscow isingekuwepo
Adui (usa) slishafika mlangoni
tatizo weng hawatumii akili , kosa la Urusi ni kuish vibaya na majiran zake , hapo anafer , kuwa mkubwa haimaanish kutowaheshimu wadogo wanaokuzunguka wanaweza fungua mlango kwa adui unaelingana nae nguv , ubaya warusi huwa hawawez jifunza kwenye historia , warus ni jamii ya watu wa hovyo sana , USA ana utata na Mexico ila hajawai itishia Mexico kijeshi au kupota eneo la Mexico wanajifanya wajinga ili siku ziende kwa aman , ila hao Urusi sio Georgia , Latvia , sio Estonia sio Lithuania sio Moldova sio Finland sio Japan sio ukraine yenyew kote hawaitak Urusi na hata Belarus hawaitak Urusi sabab anamlea yule dictator wao 2020 wananchi 200 wa Beralus waliuliwa ktk maandamano ya kumtaka Lukashenko ajiuzulu ila Putin alikir hadharan kumlinda hivyo wakimuangusha yule Lukashenko , Beralus watafuata nyayo za Ukraine

Road to NATO , tusioipenda NATO ni muda wa kukemea tabia za Putin huenda akaifanya NATO kuwa Imara zaid ya awali ambapo wengine walitaka jitoa na NATO ila sasa hv wamebadili gear angan
 
Asingeanzisha vita pengine Moscow isingekuwepo
Adui (usa) slishafika mlangoni
Unahis kuangusha nchi yenye nyuklia ni rahisi hivyo ? hata Putin anajua ila anatumia upopoma wa watu kufanikisha malengo yake , NATO wapo mlango mwa Urusi kwa miaka si chini 15 ila wamekuwa marafik kipind chote hicho , huez vamiwa au pigwa sabab ukiona hivyo ujue ww ni mkorof ndio maana unawazia kuvamiwa tu
 
marekani mwenyewe ana mashaka inawezekana kombora limerushwa na ukraine kuescalate mambo, kisha mbongo ameshaconclude ni urusi
Huwa mnabadilika vzr , Urus anajua kuwahaibisha , jana mnampa kibur Urusi baadae Urusi anajitetea akwepe kipondo leo mnabadilika na kusema kasingiziwa [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom