4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
ww huna akili kama mpak sasa huez kemea Matendo ya Putin halaf unatokeaa nchi dhaif za AfrikaNdugu acha kujichosha bila sababu...unataka russia wakubali tu hata kama hawajahusika...huo ni mchezo wa zelensky kuwaprovoke NATO ili awagombanishe na Urusi... kama wanaamini urusi ndio kashambulia wanasubiri nini mpaka wanaanza kujiuzauliza... Then nimegundua NATO ni wazembe kumbe kwenye masuala ya ulinzi hadi muda huu hawajui mashambulizi yametoka wapi....