Sidhani kama hili lingefanyika. USA angeogopa macho ya Dunia kwakuwa ingeonekana ni kama Invasion imefanyika.Asingeanzisha vita pengine Moscow isingekuwepo
Adui (usa) slishafika mlangoni
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================
Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".
It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."
Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
Ametuhumiwa kurusha makombora wakati hakurusha..
Ulitaka akubali jambo hajafanya!!?
Nami naomba iwe hivyo Ili tuone hao NATO watafanya niniAkibainika ni yeye mbona analo, natamani sana iwe hivyo ili huu upuzi uishe mapema.
Ndugu acha kujichosha bila sababu...unataka russia wakubali tu hata kama hawajahusika...huo ni mchezo wa zelensky kuwaprovoke NATO ili awagombanishe na Urusi... kama wanaamini urusi ndio kashambulia wanasubiri nini mpaka wanaanza kujiuzauliza... Then nimegundua NATO ni wazembe kumbe kwenye masuala ya ulinzi hadi muda huu hawajui mashambulizi yametoka wapi....
Hata kama sio yeye,sisi wamsingizie tu Ili wamalize biashara mapema kama walivyomsingizia Iraq kuwa anatengeneza nuclear!Watafanya makubwa maana kwa sasa Urusi amedhoofishwa na kataifa kadogo tayari, hata hiyo Poland pekee yake bila NATO inaweza kuigaragaza Urusi.
sidhani kama ni vyepesi hivyoKila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================
Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".
It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."
Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
hahaaaa mbona kwa Ukraine anarusha mpk kesho wala hakatai hata akiambiwa kalenga bembea za watoto [emoji23]Ametuhumiwa kurusha makombora wakati hakurusha..
Ulitaka akubali jambo hajafanya!!?
Kama kombola linaonyesha kabisa ni la Urusi, kuna aja gani tena ya kumuliza mtu Urusi.nyie ndo mnatakiwa kuchukua maamuziKila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================
Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".
It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."
Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
tatizo weng hawatumii akili , kosa la Urusi ni kuish vibaya na majiran zake , hapo anafer , kuwa mkubwa haimaanish kutowaheshimu wadogo wanaokuzunguka wanaweza fungua mlango kwa adui unaelingana nae nguv , ubaya warusi huwa hawawez jifunza kwenye historia , warus ni jamii ya watu wa hovyo sana , USA ana utata na Mexico ila hajawai itishia Mexico kijeshi au kupota eneo la Mexico wanajifanya wajinga ili siku ziende kwa aman , ila hao Urusi sio Georgia , Latvia , sio Estonia sio Lithuania sio Moldova sio Finland sio Japan sio ukraine yenyew kote hawaitak Urusi na hata Belarus hawaitak Urusi sabab anamlea yule dictator wao 2020 wananchi 200 wa Beralus waliuliwa ktk maandamano ya kumtaka Lukashenko ajiuzulu ila Putin alikir hadharan kumlinda hivyo wakimuangusha yule Lukashenko , Beralus watafuata nyayo za UkraineAsingeanzisha vita pengine Moscow isingekuwepo
Adui (usa) slishafika mlangoni
Unahis kuangusha nchi yenye nyuklia ni rahisi hivyo ? hata Putin anajua ila anatumia upopoma wa watu kufanikisha malengo yake , NATO wapo mlango mwa Urusi kwa miaka si chini 15 ila wamekuwa marafik kipind chote hicho , huez vamiwa au pigwa sabab ukiona hivyo ujue ww ni mkorof ndio maana unawazia kuvamiwa tuAsingeanzisha vita pengine Moscow isingekuwepo
Adui (usa) slishafika mlangoni
Huwa mnabadilika vzr , Urus anajua kuwahaibisha , jana mnampa kibur Urusi baadae Urusi anajitetea akwepe kipondo leo mnabadilika na kusema kasingiziwa [emoji23][emoji23]marekani mwenyewe ana mashaka inawezekana kombora limerushwa na ukraine kuescalate mambo, kisha mbongo ameshaconclude ni urusi