Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
- Thread starter
-
- #21
Umewahi kufikiri kwamba, Mungu haruhusu ajali zitokee Kwa watu wake?wenzio tulimuomba mungu atuondolee kiongozi DICTETA UCHWARA
Hatimaye dua zikaitika
kaondoka yeye Lisu aliyemiminiwa risasi yu hai bukheri wa afya
mungu hachezewi
Iweje Mungu aruhusu ajali mbaya ya namna hiyo Kwa Lissu?
Fikiri vinginevyo Ila usiruhusu ujinga uliokujaa kufikiri Mungu anaweza kutoa adhabu kali kiasi hiko Kwa lissu!
Na labda ieleweke kwamba, Baada ya kifo cha Yesu msalabani, hukumu moja pekee iliyobaki Kwa watu wote, watenda mema na wabaya, ni hukumu ya siku moja!
Mungu hatoi adhabu nyinginezo kama ufikirivyo wewe kijana!
Na angekuwa anatoa adhabu za papo Kwa papo, wasingelikuwepo wajenzi wa Gesti hata mmoja, wewe mwenyewe unadhambi kibao, unafikiri hustahili kufa ikiwa ndio wenye dhambi Kwa mtazamo wako ndio wanastahili kufa peke yao?
Unadhambi ngapi ambazo basi tu Mungu amekuacha?
Wauwaji Wangapi ambao mpaka Leo wapo na wanaendelea kuuwa watu na Mungu anawaona kila Leo!
Mwache Mungu, ni mtatifu mno kijana,
Tunaishi tu Kwa Neema, Putin ana damu Ngapi za raia wasio na hatia na yupo?
Usirudie tenA kusema eti wewe unaweza kuwa mtu usiye na dhambi na ukaanza kuombea wenye dhambi wafe!
Mheshimu Mungu tafadhari kijana