Tuliwaambia/Tunawaambia tena! Uongozi ni kipawa, Hayati Magufuli bado ni shujaa na atakuwa shujaa tuu!

Tuliwaambia/Tunawaambia tena! Uongozi ni kipawa, Hayati Magufuli bado ni shujaa na atakuwa shujaa tuu!

wenzio tulimuomba mungu atuondolee kiongozi DICTETA UCHWARA
Hatimaye dua zikaitika
kaondoka yeye Lisu aliyemiminiwa risasi yu hai bukheri wa afya
mungu hachezewi
Umewahi kufikiri kwamba, Mungu haruhusu ajali zitokee Kwa watu wake?

Iweje Mungu aruhusu ajali mbaya ya namna hiyo Kwa Lissu?

Fikiri vinginevyo Ila usiruhusu ujinga uliokujaa kufikiri Mungu anaweza kutoa adhabu kali kiasi hiko Kwa lissu!

Na labda ieleweke kwamba, Baada ya kifo cha Yesu msalabani, hukumu moja pekee iliyobaki Kwa watu wote, watenda mema na wabaya, ni hukumu ya siku moja!

Mungu hatoi adhabu nyinginezo kama ufikirivyo wewe kijana!

Na angekuwa anatoa adhabu za papo Kwa papo, wasingelikuwepo wajenzi wa Gesti hata mmoja, wewe mwenyewe unadhambi kibao, unafikiri hustahili kufa ikiwa ndio wenye dhambi Kwa mtazamo wako ndio wanastahili kufa peke yao?

Unadhambi ngapi ambazo basi tu Mungu amekuacha?

Wauwaji Wangapi ambao mpaka Leo wapo na wanaendelea kuuwa watu na Mungu anawaona kila Leo!

Mwache Mungu, ni mtatifu mno kijana,

Tunaishi tu Kwa Neema, Putin ana damu Ngapi za raia wasio na hatia na yupo?

Usirudie tenA kusema eti wewe unaweza kuwa mtu usiye na dhambi na ukaanza kuombea wenye dhambi wafe!

Mheshimu Mungu tafadhari kijana
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
Pumbavu Hakuna unachojua wewe.
 
Mzimu wa JPM unatutesa sanaa.
Maana mzee alikuwa anajua Takwimu za kila kitu mpaka na Mifugo.

Ila sasa hata kujua mapato ya TRA kwa mwezi hakuna.

Hatakujua tuu kule migodini mapato yake hakuna.

Hata kule Bandari kujua madudu hakuna.

Sasa kila mtu anakula na kusepa.
Maana hakuna anae jua kitu chochote
Alifanya nini?
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,

Inabidi uzoehe kuondokewa na umpendaye. Bila hivyo utachanganyikiwa.
 
Hapana,
Umewahi kufikiri kwamba, Mungu haruhusu ajali zitokee Kwa watu wake?

Iweje Mungu aruhusu ajali mbaya ya namna hiyo Kwa Lissu?

Fikiri vinginevyo Ila usiruhusu ujinga uliokujaa kufikiri Mungu anaweza kutoa adhabu kali kiasi hiko Kwa lissu!

Na labda ieleweke kwamba, Baada ya kifo cha Yesu msalabani, hukumu moja pekee iliyobaki Kwa watu wote, watenda mema na wabaya, ni hukumu ya siku moja!

Mungu hatoi adhabu nyinginezo kama ufikirivyo wewe kijana!

Na angekuwa anatoa adhabu za papo Kwa papo, wasingelikuwepo wajenzi wa Gesti hata mmoja, wewe mwenyewe unadhambi kibao, unafikiri hustahili kufa ikiwa ndio wenye dhambi Kwa mtazamo wako ndio wanastahili kufa peke yao?

Unadhambi ngapi ambazo basi tu Mungu amekuacha?

Wauwaji Wangapi ambao mpaka Leo wapo na wanaendelea kuuwa watu na Mungu anawaona kila Leo!

Mwache Mungu, ni mtatifu mno kijana,

Tunaishi tu Kwa Neema, Putin ana damu Ngapi za raia wasio na hatia na yupo?

Usirudie tenA kusema eti wewe unaweza kuwa mtu usiye na dhambi na ukaanza kuombea wenye dhambi wafe!

Mheshimu Mungu tafadhari kijana

Karma ndio ilimuondoa Magufuli. Huwezi kumlamba risasi mwana CHADEMA ukabaki hai. Damu ya mtu ni nzito kuliko maji. Kaondoka kamuacha Lissu akiwa hai.
 
Mzimu wa JPM unatutesa sanaa.
Maana mzee alikuwa anajua Takwimu za kila kitu mpaka na Mifugo.

Ila sasa hata kujua mapato ya TRA kwa mwezi hakuna.

Hatakujua tuu kule migodini mapato yake hakuna.

Hata kule Bandari kujua madudu hakuna.

Sasa kila mtu anakula na kusepa.
Maana hakuna anae jua kitu chochote

Tujenge system imara na sio kutegemea Rais atakuwaje, ndio maana pamoja na Magufuli kufanya aliyoifanya bado matatizo ni yaleyale. Maji ya mgao, umeme wa mgao, ajira hakuna, ufisadi etc.
 
Back
Top Bottom