Tuliwaambieni siyo kila mmoja anasujudia Kiingereza kama ninyi. Oneni EU wanachofanya baada ya BrExit

Tuliwaambieni siyo kila mmoja anasujudia Kiingereza kama ninyi. Oneni EU wanachofanya baada ya BrExit

Unaongea na mtu ambaye ameishi huko. Kwanza lugha hio tulifunzwa kwa kutumia lugha ya kiingereza. Walimu wetu walikuwa wanafahamu kiingereza.
Hichi ndicho kitabu tulichotumia semester ya kwanza.

View attachment 1677649
Na hiki ni kingine.
View attachment 1677650



Venus Star Geza Ulole The best 007

🤣🤣🤣
Kumbe ulisomea Balkan. Teh teh tihii.
Wewe itakuwa ulienda kusoma huko undergraduate if at all ulienda.
Kwa masters, wanakuwa international students. Wanasoma kwa kiingereza.
🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣
Kumbe ulisomea Balkan. Teh teh tihii.
Wewe itakuwa ulienda kusoma huko undergraduate if at all ulienda.
Kwa masters, wanakuwa international students. Wanasoma kwa kiingereza.
🤣🤣🤣
Si wewe ndio umeniambia niende kibera kupiga soga maana nakudanganya?
 
Usijibu vitu ambavyo huvijui. Bora ukae kimya. Mambo yanayoongelewa hapa si level ya kibera boys. Soma tu halafu pita hivi.
Hasira mbaya jamani[emoji23][emoji23]
Wakalimani wengi duniani ni wale wa kingereza
 
Ila ni lugha ya wakikuyu.
Muone huyu, usidhani kila mtu ni mtumwa muacha mila kama wewe na wenzako. Kuna stesheni za Radio na Tv ambazo zinarusha matangazo yao 24/7 kwa lugha za asili nchini Kenya. Lugha ya kikikuyu inazo karibia 20, kwa mfano Inooro Tv. Kuna mwandishi maarufu sana kimataifa kutoka Kenya ambaye anaandika kwa lugha yake ya asili ya kikikuyu(Ngúgí Wa Thiong'o). Nyie mmefanya nini la ziada kuenzi, kukuza na kuhifadhi lugha zenu za asili? Au kazi ni kuwasifia tu wazungu kwa kujitambua wakati nyinyi wenyewe mmefeli?
 
Gwiji la soka la Ujerumani Lother Mattheus alikuwa anahojiwa Na Azam TV tz,kipindi cha Patrick Nyembera. Anaongea kiingereza safi.

Hiyo report yenyewe imeandikwa kwa English
 
Kwa wale waumini wa kiingereza, tuliwaambieni ya kuwa siyo kila mmoja anakiabudu hiki kilugha cha Malkia kama Wakenya mnavyodhani.

Pia ikumbukwe, kwa Wakenya wote, siyo kila mzungu mweupe anajua Kiingereza. Kuna idadi kubwa sana ya wazungu ambao Kiingereza kwao wala siyo kitu. Ndiyo maana sasa wameamua kurejea kwenye lugha zao za asili.

In ze rreeeekkiiiiiiii oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee 😃 😃 😃
 
Si wewe ndio umeniambia niende kibera kupiga soga maana nakudanganya?

Kiasi fulani unathibisha kwamba angalau umesafiri nje ya Kenya. Though that is not enough justification.
 
Gwiji la soka la Ujerumani Lother Mattheus alikuwa anahojiwa Na Azam TV tz,kipindi cha Patrick Nyembera. Anaongea kiingereza safi.

Hiyo report yenyewe imeandikwa kwa English

Ni mmoja mmoja. Angela Merkel, the long saving chancellor of Germany is always communicating in her language.
 
Muone huyu, usidhani kila mtu ni mtumwa muacha mila kama wewe na wenzako. Kuna stesheni za Radio na Tv ambazo zinarusha matangazo yao 24/7 kwa lugha za asili nchini Kenya. Lugha ya kikikuyu inazo karibia 20, kwa mfano Inooro Tv. Kuna mwandishi maarufu wa kimataifa kutoka Kenya ambaye anaandika kwa lugha yake ya asili ya kikikuyu(Ngúgí Wa Thiong'o). Nyie mmefanya nini la ziada kuenzi, kukuza na kuhifadhi lugha zenu za asili? Au kazi ni kuwasifia tu wazungu kwa kujitambua wakati nyinyi wenyewe mmefeli?


Usinioneshe maukabila yenu hapa. Umesahau jinsi haya maredio ya makabila yalivyotuhumiwa kuhusika na kueneza chuki za baada ya uchaguzi Kenya?
 
Hasira mbaya jamani[emoji23][emoji23]
Wakalimani wengi duniani ni wale wa kingereza

Nani kakuuliza habari za wakalimani. Halafu isitoshe, ukiona lugha ina wakalimani wengi, ujue ina watumiaji wachache.
 
Usinioneshe maukabila yenu hapa. Umesahau jinsi haya maredio ya makabila yalivyotuhumiwa kuhusika na kueneza chuki za baada ya uchaguzi Kenya?
Aisee hadi unatia huruma. Kwahivyo mzungu akienzi lugha yake ya asili ni sifa, ila ikija kwa mwafrika ni ukabila? Hivi Lugha asili yako we msukuma ni ipi haswa? Liberate yourself from mental slavery. Watu huwa wanaendeleza ukabila kwa hulka zao za kibaguzi, sio kwa kutumia tu lugha zao za asili. Mfano mzuri ni kama ile miradi mikubwa ya maendeleo kule Chato. [emoji1] Nilijua kwamba baadhi ya wenzako wamechanganyikiwa kupindukia kwa comment zao kwenye uzi huu hapa; Ngúgí Wa Thiong'o awahutubia Wahispania kwa lugha ya Gíkúyú baada ya Rais wa Cataluña kumtunuku tuzo la Premi Internacional Catalunya
 
Aisee hadi unatia huruma. Kwahivyo mzungu akienzi lugha yake ya asili ni sifa, ila ikija kwa mwafrika ni ukabila? Hivi Lugha asili yako we msukuma ni ipi haswa? Liberate yourself from mental slavery. Watu huwa wanaendeleza ukabila kwa hulka zao za kibaguzi, sio kwa kutumia tu lugha zao za asili. Mfano mzuri ni kama ile miradi mikubwa ya maendeleo kule Chato. [emoji1] Nilijua kwamba baadhi ya wenzako wamechanganyikiwa kupindukia kwa comment zao kwenye uzi huu hapa; Ngúgí Wa Thiong'o awahutubia Wahispania kwa lugha ya Gíkúyú baada ya Rais wa Cataluña kumtunuku tuzo la Premi Internacional Catalunya

Nyie wakenya bado hamjaelewa tofauti ya kabila na ukabila. Mkilijua hili ndiyo ukuje huku ujadili na mimi.
Nyie akili zenu zimekaa kiukabila kabila. Na hizo lugha mnazodai kuzienzi, ili kusudi mjitofautishe na kubaguana vizuri.

Unakumbuka yule mmiliki wa chombo cha habari, redio, alivyochochea kuchinjana kwa kutumia media yake ya kiukabila?
 
kumbe anajua na haongei!!!!

huoni kama huyo ndio wa kujadili zaidi kuliko asiyeongea kwa kutokujua???
Kwanini alitaka kujua?

Yaani kiongozi wa ngazi za juu wa nchi yenye uchumi imara ajifunze English halafu akina siye tukipige vita.
Huku kwetu wanaokipiga vita wengi wao ni baada ya kukishindwa(labda kutokana Na kutokuwa Na mazingira rafiki ya kujifunza)
 
Nyie wakenya bado hamjaelewa tofauti ya kabila na ukabila. Mkilijua hili ndiyo ukuje huku ujadili na mimi.
Nyie akili zenu zimekaa kiukabila kabila. Na hizo lugha mnazodai kuzienzi, ili kusudi mjitofautishe na kubaguana vizuri.

Unakumbuka yule mmiliki wa chombo cha habari, redio, alivyochochea kuchinjana kwa kutumia media yake ya kiukabila?
Acha longo longo zako wewe. Nieleze maana kamili ya 'lugha za asili'. Kiingereza huku afrika kina asili ya ukoloni wa muingereza. Kiswahili nacho kina asili ya utumwa na uarabu. Sasa unataka tuzienzi lugha zipi hizo zaidi ya lugha za mababu zetu sawa na wanavozienzi lugha zao hao wazungu unaowasifia?
 
Kwanini alitaka kujua?

Yaani kiongozi wa ngazi za juu wa nchi yenye uchumi imara ajifunze English halafu akina siye tukipige vita.
Huku kwetu wanaokipiga vita wengi wao ni baada ya kukishindwa(labda kutokana Na kutokuwa Na mazingira rafiki ya kujifunza)

Nani kakuambia kansela wa ujerumani anajifunza kiingereza. Kwa sababu ipi, lini, wapi. Hizo ni hisia zako.
 
Back
Top Bottom