Tuliwaambieni siyo kila mmoja anasujudia Kiingereza kama ninyi. Oneni EU wanachofanya baada ya BrExit

Tuliwaambieni siyo kila mmoja anasujudia Kiingereza kama ninyi. Oneni EU wanachofanya baada ya BrExit

Kwanini alitaka kujua?

Yaani kiongozi wa ngazi za juu wa nchi yenye uchumi imara ajifunze English halafu akina siye tukipige vita.
Huku kwetu wanaokipiga vita wengi wao ni baada ya kukishindwa(labda kutokana Na kutokuwa Na mazingira rafiki ya kujifunza)
kwani inachukua muda gani kujua kiingereza,maana naona mnatka kukuza mambo ya siyokua.
 
Nionyeshe ni wapi nimesema nilienda Ujerumani. Nimesema nilienda Europe. Nilienda kwa nchi ambayo ni jirani ya Ujerumani. Na sio lazima uniamini. Maana huko kwenu hamutembei nje ya nchi. Zaidi ya kuzunguka ndani ya nchi yenu. Halafu Europeans wengi wanakifahamu kiingereza hata kama ni kidogo tu. Hio ndio fact na haitobadilika.
Ata Kama hatujafika nchi za nje sawa,ndo utuambie apo turkana ndo umefika Europe,ebu kuwa siliasi mkuu
 
Kingereza bado itabakia lugha mama kwao...





Cc: mahondaw

Shida ni kwamba, Kuna watu walikuwa hawamini kwamba kuna weupe wengi tu wanaongea kiingereza kilichovunjika vunjika. Ndiyo maana walikuwa wakiwashukia waTanzania. Na kuikuza issue kuwa kuubwa. Tuliokuwa na exposure na uelewa tofauti, tukawa tunasema kuongea kiingereza kilichovunjika, siyo issue kubwa kama mbhughua za kibera zinavyotaka kuwaaminisha watu.
 
Back
Top Bottom