Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Kama kawaida chama kimejaa matusi. Ngoja tuone leo kama mtajaza lidaladala lenu😂🤣😎🤔😏Mbona kama una wivu? Tangu lini ukawa na uchungu na Chadema?
This is jus' "Ho' jealous" Zama zenu zimepita na hazirud tena!! Tafuteni cha kufanya hamna nafas tena kutawala nchi kama mlivyofanya!! Teka, tesa, uaa, bambikia kesi za uhujumu uchumi, pora pesa za wafanyabiashara, weka magereza wapinzani, fukuza Prof Assad haraka cz anatuchunguza matumizi yetu!!!walijifanya wajuaji waliambiwa kuongelea na kusimamia misingi ya Kero za wananchi wakakengeuka wakawa hawaambiliki wakashupaza shingo wakafikiri wanapendwa ndugu zangu bora msingeomba maridhiano uchwara mnaaibika wananchi wa mwanza wana hasira na nyie hawataki kuwasikia uwanja mweupe hakuna mtu ama kweli Magufuli a anaishi mioyoni mwa Watanzania wanampenda sana Watanzania wamelipia gharama ya upendo kwa Magufuli kwa kuwasusia Hawa wapinzani wasiojitambua
Labda ccm wataenda kuzomea au kuwasanifu. Ngoja tusubiri picha. 🏃♂️🏃♂️Naomba picha za uwanja ukiwa tupu
Hili la kushupaza shingo ni kweli, https://www.jamiiforums.com/threads...-19-ni-mashujaa-kuendelea-ubunge-wao.1815648/ sasa wamebadilika, hawajashupaza tena shingo!, kiongozi wao amekwenda kupiga magoti mbele kwa Mama na kutubu makosa yake, Mama akawasamehe, sasa hawajakengeuka tena, sasa wanaambilika hata leo wataongea vizuri tuu!.walijifanya wajuaji wakakengeuka wakawa hawaambiliki wakashupaza shingo
Mbona kama una wivu? Tangu lini ukawa na uchungu na Chadema? Atombwe mwingine upige kelele wewe
Hiyo ni dalili kuwa wanamkubali Sana Samiawalijifanya wajuaji waliambiwa kuongelea na kusimamia misingi ya Kero za wananchi wakakengeuka wakawa hawaambiliki wakashupaza shingo wakafikiri wanapendwa ndugu zangu bora msingeomba maridhiano uchwara mnaaibika wananchi wa mwanza wana hasira na nyie hawataki kuwasikia uwanja mweupe hakuna mtu ama kweli Magufuli a anaishi mioyoni mwa Watanzania wanampenda sana Watanzania wamelipia gharama ya upendo kwa Magufuli kwa kuwasusia Hawa wapinzani wasiojitambua
Kiongozi yupi alipiga magoti?Hili la kushupaza shingo ni kweli, https://www.jamiiforums.com/threads...-19-ni-mashujaa-kuendelea-ubunge-wao.1815648/ sasa wamebadilika, hawajashupaza tena shingo!, kiongozi wao amekwenda kupiga magoti mbele kwa Mama na kutubu makosa yake, Mama akawasamehe, sasa hawajakengeuka tena, sasa wanaambilika hata leo wataongea vizuri tuu!.
P
Baada ya dalili zote za mkutano wa Chadema jijini Mwanza kudoda, katibu mkuu wa chama hicho bwana Mnyika ameonekana akizurula mitaani na masokoni akikagua bei ya vyakula na changamoto mbalimbali zinazowakumba wananchi, lakini namshauri ili apate angalau uungwaji mkono kidogo kutoka kwa wananchi wa Mwanza aende atembelee miradi yote waliyokuwa wakiipinga kama daraja la kigongo- busisi na ujenzi wa meli mpya ziwa victoria maarufu kama Mv Mwanza hapa kazi tu.Hili la kushupaza shingo ni kweli, https://www.jamiiforums.com/threads...-19-ni-mashujaa-kuendelea-ubunge-wao.1815648/ sasa wamebadilika, hawajashupaza tena shingo!, kiongozi wao amekwenda kupiga magoti mbele kwa Mama na kutubu makosa yake, Mama akawasamehe, sasa hawajakengeuka tena, sasa wanaambilika hata leo wataongea vizuri tuu!.
P
Hizi ni dalili Samia anakubalika mno bila kutumia mtutu amewamaliza wapinzaniKama kawaida chama kimejaa matusi. Ngoja tuone leo kama mtajaza lidaladala lenu😂🤣😎🤔😏
Kuna vitu vingine hauwezi kusema!.Kiongozi yupi alipiga magoti?