Tuliwaonya hawakusikia walipendwa wakadeka wanaaibika mwisho wa ubaya ni aibu! poleni Chadema hii ndio maana ya kufariki kwa chadema

Je!
Mnasusiwa sababu mliuwawa!?
 
Na bado tunasisitiza shetani Magufuli aendelee kuwaka moto kadri Mwenyezi Mungu itakavyompendeza!

Shetani stahili yake ni moto wa kuzimu!
 
Unachekesha subiri nitume picha
 
Sawa tumekusikia mama endelea kuiombea Chadema mabaya utalipwa hapa hapa duniani kabla hujafa umeshindwa hata kujifunza kupitia kifo cha dikteta uchwara.
 

Mkuatano saa kumi ila kelele nyingi. Kama una muabudu Marehemu ni wewe usilazimishe wengine.
 

Punguza machungu itakusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…