CHADEMA ilishajifia 2015 baada ya kujipa kazi ya kumtetea mtu aliyekua na kashfa ya ufisadi na kumfanya mgombea wao wa urais. Kinachoendelea ni mbinu tu za Mbowe kama mmiliki wa Chama kuendelea kujipigia tu mihela ya ruzuku.
Duh...!. Mkuu econonist , wewe tuko nawe humu toka Jul 11, 2015, mpaka leo ni miaka 8, bado hujaijua tofauti ya waabudu watu na ma independent commentators?.